Naomba unileeNa kweli humu viben10 vimejaa
Hahaa mimi ndio kwanza naingia form six mwakani ..so kwa experience ya ukomavu wa mwandiko wako ..utakuwa umenizidi tu mile age's yakutosha
ntaileta usijali mama ndio imeanzaMpya hiyo alituambia ebu ipost basi
HahahaUsinikomaze mie
Siunajifunza mkuuKipaji cha kulea viben10 sina
Sio vyote " Mimi peke yangu tuHahaha kwahiyo ndio nilee viben10
hahaha ngoja niiwekeAnza nayo hivyo hivyo usirundike bwana kupost mengi



Kama naweza vumilia arosto za lara hizi hazitanishinda.Hii story ina arosto narudia tena ina arosto kwahiyo kelele za arosto zisiwepo kukiwa na arosto muwe wavumilivu tu mpaka itakapowekwa
Nipo ndani ya nyumba tayari.....twende kazi bidada.
Umenichekesha kweli.asanteKipaji cha kulea viben10 sina