KIJIWE: bro to bro

KIJIWE: bro to bro

VERIFY

JF-Expert Member
Joined
Dec 31, 2024
Posts
695
Reaction score
1,582
Wakuu bro to bro, maisha yanatupiga tofauti tofauti ila muhimu tujengane na kushauriana kama wanaume.

Kila mmoja ana experience yake kuhusu maisha, pesa, mahusiano, hustle na future. Mtu akiona ana wazo, ushauri au somo lolote la kusaidia wengine aweke hapa tujifunze pamoja. Hakuna anayejua kila kitu, tunaishi kwa kujengana 🔥
 
Bro to bro Usipoteze watu wa msingi na real connections kwa sababu ya kudefend makosa yako. Ego ikizidi akili, unaweza kusukuma mbali watu waliokuwa genuinely upande wako 💯🥶
 
Bro to bro

Hakikisha hulali na mke wa mtu, wala kuzoea nae kwa jambo lolote lile.

Kwa vijana tunaojitafuta, milele yote jiepushe na single mothers.

Hakikisha hukai mtaani kisa huna kazi unayoitaka, fanya kazi yoyote iliyo mbele yako huku ukipambania kazi unayoitaka.

Maisha ni complicated, ila jiepushe na pombe ya kupitiliza, ngono zembe, kubet kupitiliza na Mengine negative kwenye mwili wako, mana hii sio mbadala wa kujifariji.

Heshimu Kila mtu.
 
Bro to bro

Hakikisha hulali na mke wa mtu, wala kuzoea nae kwa jambo lolote lile.

Kwa vijana tunaojitafuta, milele yote jiepushe na single mothers.

Hakikisha hukai mtaani kisa huna kazi unayoitaka, fanya kazi yoyote iliyo mbele yako huku ukipambania kazi unayoitaka.

Maisha ni complicated, ila jiepushe na pombe ya kupitiliza, ngono zembe, kubet kupitiliza na Mengine negative kwenye mwili wako, mana hii sio mbadala wa kujifariji.

Heshimu Kila mtu.
Wewe huyo kumbe ukituliza kicwa hua una akili
 
Bro to bro

Hakikisha hulali na mke wa mtu, wala kuzoea nae kwa jambo lolote lile.

Kwa vijana tunaojitafuta, milele yote jiepushe na single mothers.

Hakikisha hukai mtaani kisa huna kazi unayoitaka, fanya kazi yoyote iliyo mbele yako huku ukipambania kazi unayoitaka.

Maisha ni complicated, ila jiepushe na pombe ya kupitiliza, ngono zembe, kubet kupitiliza na Mengine negative kwenye mwili wako, mana hii sio mbadala wa kujifariji.

Heshimu Kila mtu.
Mpaka mbaga umeandika hivi

Kweli hii ni bro to bro 🫡
 
Beo to bro


When she supported you when you were down and you finally make it. Leave her so she can support another brother 😎🤝🏽
 
Bro to bro

Mwanamme anakubalika tu wakati akiwa na pesa
 
Bro to bro

Never do a husband duties while you're still a boyfriend
 
Bro to bro

Utapoteza pesa kwa kutafta wanawake lakin huwez poteza mwanamke kwakutafta pesa
 
Back
Top Bottom