Hello JF,
Mimi ni kijana wa miaka 31, nina elimu ya chuo kikuu na nimeajiriwa na kampuni moja hapa jijini Dsm.
Ni mrefu wa wastani, mnene wa wastani, rangi maji ya kunde na mkristo. Natafuta mchumba, binti anaejiheshimu na ambae yuko serious na maisha yake. Awe na sifa zifuatazo:
- Mrefu wa wastani
- Rangi ya maji ya kunde au mweupe
- Mwembamba / unene wa wastani
- Elimu ya chuo
- Umri kati ya miaka 22 - 28
- Asiwe amewahi kupata mtoto
Alie serious anitumie email kupitia devdevblack@gmail.com au ani inbox hapa jf.
Ahsante.
Mimi ni kijana wa miaka 31, nina elimu ya chuo kikuu na nimeajiriwa na kampuni moja hapa jijini Dsm.
Ni mrefu wa wastani, mnene wa wastani, rangi maji ya kunde na mkristo. Natafuta mchumba, binti anaejiheshimu na ambae yuko serious na maisha yake. Awe na sifa zifuatazo:
- Mrefu wa wastani
- Rangi ya maji ya kunde au mweupe
- Mwembamba / unene wa wastani
- Elimu ya chuo
- Umri kati ya miaka 22 - 28
- Asiwe amewahi kupata mtoto
Alie serious anitumie email kupitia devdevblack@gmail.com au ani inbox hapa jf.
Ahsante.