Moyes havumiliki,aondoke..

Moyes havumiliki,aondoke..

Gefu

JF-Expert Member
Joined
Nov 30, 2010
Posts
6,929
Reaction score
2,567
Watu hatuna uhuru,kila gemu tunapigwa tu..!aaaghh...! Hatuwezi kuongea lolote hata mbele ya vibonde wa ligi maana wanaweza kutufunga ! Huyu jama anatupeleka ilipokuwa timu yake,aondoke tu hafai bhana. Naenda kulala..!!??
 
Moyes unamlaumu bure. Hayo ni matokeo ya quality ya wachezaji waliopo. Timu ilicheza vizuri leo lakini ukiwa na foward line inayoongozwa na Welbeck, Mzee wa reverse unategemea nini. Man U wanunue wachezaji sio anaumia Rooney na Van Persie then kila kitu kinasimama.

Tiba
 
kwa timu hii sasa inachosha!!!hata kwenda kuingalia ni sawa na KUMDHAMINI KOBE KWENYE MASHINDANO YA MBIO!!! UKITEGEMEA USHINDI.
 
Moyes unamlaumu bure. Hayo ni matokeo ya quality ya wachezaji waliopo. Timu ilicheza vizuri leo lakini ukiwa na foward line inayoongozwa na Welbeck, Mzee wa reverse unategemea nini. Man U wanunue wachezaji sio anaumia Rooney na Van Persie then kila kitu kinasimama.

Tiba

Waongeze na fungu la kuwapa marefarii.

Heri ya mwaka mpya Tiba.

Mi naitwa babu, kama ulikuwa hujui.
 
Kuwa na subira
Unafahamu wafungaji tegemezi wote majeruhi...
Kufungwa tutegemeee
Inabid kukomaa kurudi kwenye nne bora maana kama ubingwa msimu huu tusahau

...mkuu mi uzalendo unanishinda,huyu jamaa simuamini kabsaaa. Babu hata akiwa na majeruhi watano wa first eleven alikuwa anaforce ushindi,huyu jamaa mpaka ligi iishe hata kumibora hatutakuwemo nakwambia...
 
ondoka wewe kwani umelazimishwa
...ningekuwa moyes ningeondoka kwa manufaa ya klabu,na ndo msingi wa hoja yangu,loh akili ndogo bhana ? Mpaka tushike chaki ...?
 
...ningekuwa moyes ningeondoka kwa manufaa ya klabu,na ndo msingi wa hoja yangu,loh akili ndogo bhana ? Mpaka tushike chaki ...?

klabu haina historia ya kufukuza kocha kwa hiyo acha kujipa moyo kwamba moyes atatoka
sawa wewe mwenye akili kubwa
 
yaaani sasa timu mbalimbali zinakuja kufunja rekodi tu.......yaaan daaaah ... Naangalia gemu za man u nikiwa najipa matumaini labda leo tutashinda lakini naambulia maumivu ya moyo tuu
 
IN MOYES WE TRUST. Watu wanakandika miaka kumi sa hv hawajacheza japo fainali na bado wamo wanapiga kelele kuliko hata bingwa mtetezi na bado mechi 16 unasema aondoke? Maana ya mkataba wa miaka 6 ndo hiyo una muda wa kuanguka,kunyanyuka,kujipanga na kusonga mbele. Fergie hadi sasa kipindi alichokuwepo fergie alipotua manutd na moyes manake moyes kamzidi fergie jiulize wangemfukuza mapema tungekuwa wapi? Hii sio Yanga kila akipigwa na Simba kocha kwaheri au chelsi akikosa ubingwa kwaheri kocha mikataba ya miaka miwili tu si ujinga huo.
 
Ondoka wewe au jiue ukiweza.wachezaji wenyewe wako wapi.ndo maana kuns watu wanaamini fergie alikuwa na fitina kuliko ukocha.mpeni hela kocha asajili sio kwa timu ile
 
Watu hatuna uhuru,kila gemu tunapigwa tu..!aaaghh...! Hatuwezi kuongea lolote hata mbele ya vibonde wa ligi maana wanaweza kutufunga ! Huyu jama anatupeleka ilipokuwa timu yake,aondoke tu hafai bhana. Naenda kulala..!!??

Kumbuka Ilimchukua miaka kadhaa sir Fergie hadi alipoanza kushinda. Lazima mzoee maumivu kama Pool ama Gooners.
End of an era!!!
Ni mwaka wa Pellegrini huu
 
Back
Top Bottom