mathematics
JF-Expert Member
- Feb 21, 2012
- 3,323
- 1,105
du unakumbukumbu ww mi karate kid
Mimi kuna Movie inaitwa Easter Condors kuna Mr.Chain,Suma Hong nk yaani nilikuwa siichoki hasa ila sehemu anadunda-dunda kwenye vyuma halafu Mr.Chain anabetua nazi anampiga jamaa kifuani..Flashback la nguvu.
Kabi kabi/amitah bachan,
Giuliano gemma/one silver dollar...a cowboy movie.
Kuna ile ya Govinda inaitwaje vilee? Kuna katoto kanaita 'yaya' , embu anayejua anikubumbushe!
Unamaanisha EASTERN CONDORS? Lilikuwa boonge la movie, mr chain anapigana kwa dharau huku akijipepea na kipepeo, mwishoni mawani ilipovunjika ndio akaipata tamu yake!!
EASTERN CONDORS
View attachment 55120 View attachment 55121 View attachment 55123 View attachment 55122
inaitwa HATYA, na kuna ya Jack shrofa inaitwa tel mehel baniya, stering mbwa, jinc alivyowaua maadui wote kwa kumuua bosi wake, yani kipindi hicho Ashanti ndani ya nyumba, au ROHA, muvi za zamani raha sana
inaitwa HATYA, na kuna ya Jack shrofa inaitwa tel mehel baniya, stering mbwa, jinc alivyowaua maadui wote kwa kumuua bosi wake, yani kipindi hicho Ashanti ndani ya nyumba, au ROHA, muvi za zamani raha sana