Huku JF sio kila mtu ni mtengeneza FILAMUTutengenzee ya kwako kama mfano
Tuanzisheni haraka kampeni ya kuzuia wasiipeleke huko maana tunaweza tukaongezwa kwenye yale maajabu 7 ya duniaWenyewe wanatak wakaipeleke ikashindane na movie za hollywood
tabia ya kukatishana tamaa zipo kwenye damu za wabongoKwani hao watu wa huko mbele walipofanya makosa hawakukosolewa?
Watengenezaji wa Bongo movie ni nani haswa mpaka kazi zao zisikosolewe?Kukosoa kitu kibovu leo hii imekuwa kosa?
Kwa hiyo unataka tusifie vitu vibovu? Eti kisa wameanza juzijuzi?
Aliyesema nataka walingane na hao waliopo kwenye industry miaka 100 ni nani?Mbona hata wao kazi zao nyingi tu zinakosolewa? Kwa nini za Bongo zisikosolewe?
Au kisa ni muvi ya nyumbani ndio tusiikosoe? Kisa wametumia hela nyingi kuliko Bongo movie nyingine basi ndio tukae kimya hata wakitoa kitu kibovu?
Kitu usipokipenda usiseme? Kukosoa muvi mbovu ndio mnaita roho mbaya? Sasa mtu akiona kitu cha hovyo mnataka akae kimya au? Mnataka asitoe mawazo yake?
Hapa tunaongelea movie, hata haihusiani na uzalendo wala roho mbaya, bali ni maoni ya watu juu ya movie hiyo. Kama wewe ni mpenzi wa movie basi kuna movie mbovu kibao utakuwa umeziona na kwenye thread ya movie kule muvi ikiwa mbovu inapondwa bila kujali ni ya nchi gani. Ila huku kuponda movie mbaya ya Kibongo ndio mnaita roho mbaya na kukosa uzalendo.
Kama mashabiki wa Bongo movie wenyewe wataendelea ku-judge movie kwa kuzingatia hisia kuliko uhalisia basi Bongo movie haitaendelea kamwe. Endeleeni kusifia ushuzi
Hivi wewe muvi unaangalia kweli [emoji848][emoji848]tabia ya kukatishana tamaa zipo kwenye damu za wabongo
Mbususu Enthusiast (jon stephano) anakusalimia.[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Mnatuvunja moyo wa kwenda kuiangaliaWabongo tukomae na akina Nsyuka na aladini hizi sci-fi tuwaachie wataalam huko Holly wood
Bora ukapoteze muda na kamchepuko kuliko kwenda kuangalia hiyo movie hahaaaMnatuvunja moyo wa kwenda kuiangalia
Huhitaji kuwa mpishi kujua chakula hiki kiamu au si kitamu, huhitaji kuwa mwanamziki kujua huu muziki ni mzuri.JF kuna wajuaji kazi kukosoa tengenezeni yenu tuone mfano
AahaaaaaaBora ukapoteze muda na kamchepuko kuliko kwenda kuangalia hiyo movie hahaaa
We director Adam Juma. Serious? Huyuhuyu tunayemjua wa video za miaka ya 2000s. Wangemhusisha Seko Shamte au kutafuta co-directors kutoka nchi jirani hususani bondeni.Huhitaji kuwa mpishi kujua chakula hiki kiamu au si kitamu, huhitaji kuwa mwanamziki kujua huu muziki ni mzuri.
Mwisho wa siku masuala ya tupende vya kwetu huwa hayafanyi kazi watu wanapenda vitu vizuri. Ukitaka kujua watu ukitengeneza kitunkizuri cha ndani watanunua tu, ona watu wanavyopenda suti zinazotengenezwa local.
Sijaiona ila sikutegemea iwe woow, la msingi ni mwanzo baada ya hapo wataboresha zaidi na zaidi wakijifunza. Shida inakuwa zaidi kwenye story na script. Inawezekana ingekuwa simple sci-fiction story yenye script nzuri ingependeza zaidi
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Mbususu Enthusiast (jon stephano) anakusalimia.
Mimi sio mtu wa movie lakini kwa akili ya kawaida unategemea uangalie movie ya kibongo huku ukiwa na comparison na movie za Hollywood ? budget, technology, experience, skills and knowledge zina fanana? siwezi kwenda kuangalia mechi ya Yanga na Simba huku kichwani nikiwa na fikira za Real Madrid Vs BarcelonaHivi wewe muvi unaangalia kweli [emoji848][emoji848]
Sasa nani amefanya comparisonMimi sio mtu wa movie lakini kwa akili ya kawaida unategemea uangalie movie ya kibongo huku ukiwa na comparison na movie za Hollywood ? budget, technology, experience, skills and knowledge zina fanana? siwezi kwenda kuangalia mechi ya Yanga na Simba huku kichwani nikiwa na fikira za Real Madrid Vs Barcelona
Tatizo la hii movie ipo below standard, ni movie ambayo watoto wakiangalia watafurahi lakini mtu mzima huwezi kuangalia hiyo movie ukafurahia. Imagine hata waingizaji wamemezeshwa maneno na anayeangalia anajua kabisa. Movie inaatakiwa iwe na ladha hii haina ladha mana mboga haina chumvi, mafuta, nyanya, vitunguu. Yani harage limechemshwa halafu tumepewa tule.Mimi sio mtu wa movie lakini kwa akili ya kawaida unategemea uangalie movie ya kibongo huku ukiwa na comparison na movie za Hollywood ? budget, technology, experience, skills and knowledge zina fanana? siwezi kwenda kuangalia mechi ya Yanga na Simba huku kichwani nikiwa na fikira za Real Madrid Vs Barcelona
Hapa ndio shida ilipo hatuna script writers. Takataka zote wanazoonyesha Dstv Itv nk ni mbovu kwasababu script ni mbaya.Una low budget halafu unatengeneza movie ya sci-fi lazima utoe boko
Bongo bado hatuna script-writers wazuri sishangai kuona visa katika hiyo movie havieleweki
Kwa hiyo unataka na wewe uanze mwanzo kama walivyoanza wao, badala ya kuendelea kwa kutumia teknolojia iliyopo sasa?.Huko unako tolea mfano walianza bila makosa? yaani movie ya kwanza tena kutoka Africa unataka ilingane na watu walio kwenye industry kwa miaka zaidi ya 100?
Usipokosolewa utaboreshaje unachokifanya?tabia ya kukatishana tamaa zipo kwenye damu za wabongo