Movie Stars

Movie Stars

mchonga

JF-Expert Member
Joined
Dec 3, 2006
Posts
1,233
Reaction score
249
a2%2Bposter.JPG
 
Covers za dvd zao huwa zinavutia sana but ukiangalia movie ndani ni utumbo mtupu, sifa nyingiiiii but kujituma na kuwa na ufanisi ni zero. BONGO HOVYO kuanzia siasa mpaka sanaa lol
 
Covers za dvd zao huwa zinavutia sana but ukiangalia movie ndani ni utumbo mtupu, sifa nyingiiiii but kujituma na kuwa na ufanisi ni zero. BONGO HOVYO kuanzia siasa mpaka sanaa lol
Umenena.Nilifikiri nipo pekee yangu,
 
Covers za dvd zao huwa zinavutia sana but ukiangalia movie ndani ni utumbo mtupu, sifa nyingiiiii but kujituma na kuwa na ufanisi ni zero. BONGO HOVYO kuanzia siasa mpaka sanaa lol
mimi hizo movies zao huwa zinanitia kichefucheku tu
maana ni ngono mpaka mwisho
 
Sizipendi but huwa utalazimika kuangalia ukiwa safarini. Hawana jipya........
 
ha ha, wanaopenda muvi za bongo basi lazma wapende na za ki nigeria, na mara nyingi unakuta wanaozipenda ni waporipori
 
Mkuu unafanya makosa kuziponda movies za kibongo pamoja na wale wanaoziangalia, kumbuka wewe ni mtanzania na utabaki kuwa mtanzania hata kama utapenda movies za ulaya na marekani au hata kama ukibadilisha uraia bado wewe ni mtanzania.
Kwa mantiki hiyo wewe una mama, mama wadogo na wakubwa, wajomba, baba, baba wadogo na wakubwa, mashangazi n.k, mimi ninaamini huwa wanaangalia movies za kibongo na wanazipenda, je ni sahihi kuwatukana kwa kuwaita 'waporipori'?

Nafikiri uache hiyo kasumba na badala yake toa maoni jinsi ya kuboresha hizo bongo movies ili watanzania na afrika tusonge mbele maana hiyo ni ajira wa watanzania wenzio ambao unawatukana
 
tuwaponde ilaaa wazuriiii banaa..i like that cover ya movie
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom