Wick
JF-Expert Member
- Dec 19, 2012
- 8,312
- 12,191
Labda ndio wanaifanyia continuation tuone Bumblebee alifikaje duniani. Kwenye Transformers si wanaonyesha alivyompata Sam tu.Ila huyu Bee mbona kama kawa mdogo hivi ??
Ila logic ya Robot linakua haitakua nzuri!.

