AshaDii
Platinum Member
- Apr 16, 2011
- 16,190
- 18,077
Actually Sydney Sheldon ni Mwanaume actually I can argue kwamba ni the best author ever. yaani ukisoma "IF Tommorrow Comes" jinsi huyo mdada anavyorevenge kwa watu waliomtenda na plots alizotumia yaani its unbelievable yaani vitabu vyake huwezi kujua what is happening next na ukifungua page ya kwanza huachi mpaka umemaliza zote... Yaani believe me I have read millions of Books from the likes of James Hadley Chase, Agatha Christie to the likes of John Grisham and Erie Stanley Gardner.., lakini no one can even comes close to sheldon..., even Mario Puzzo apart from God Father and The Last Don lakini ukiunganisha vitabu vyote vya Sheldon Puzzo seems like second rated
Are you pulling my leg??? i always, always thot ni mwana mama na nisha
wahi soma one kitabu nikaishia njiani (inahusu a guy anafuatilia mtoto kwa
mdada alopandikiza mbegu yake... the storyline nzuri but the book! sijui niseme the words??)
Dah! kumbe mwanaume.... THANK YOU... But please say you are not pulling my leg....