Movie kali zaidi za kijeshi

Movie kali zaidi za kijeshi

Hii kazi inakosekanaje hapa..humo ni kazi mwanzo mwisho
images.jpeg
 
Ila uzi kama huu ilifaa sharti uanze na No retreet no surrender
 
Ze had wei, mniga analiwa na mamba.
Anodi ya jeni
FRank zagarino maveti mtanikoma
Komando kipensi
😂
Umeisahau na No retreat, no surrender! Miaka ya 90 ilikuwa ni balaa sana huko vijijini kupitia ule utaratibu wetu wa Video Show!

Trailler zilikuwa ni nyimbo za wanamuziki wa Zaire (DRC)! Yondo Sister, Pepe Kalle, Bozi boziana, Soukouss Stars, Jenerali Defao, Extra Musica, Allain Koukou, Aurlus Mabele na bendi yake ya Loketo, nk.

Life ilikuwa tamu sana kipindi hicho.
 
Umeisahau na No retreat, no surrender! Miaka ya 90 ilikuwa ni balaa sana huko vijijini kupitia ule utaratibu wetu wa Video Show!

Trailler zilikuwa ni nyimbo za wanamuziki wa Zaire (DRC)! Yondo Sister, Pepe Kalle, Bozi boziana, Soukouss Stars, Jenerali Defao, Extra Musica, Allain Koukou, Aurlus Mabele na bendi yake ya Loketo, nk.

Life ilikuwa tamu sana kipindi hicho.
Sisi tulikuwa tunatamka "no trit no sarenda" matias kisima cha mamba.

Hizo nyimbo za wanamuziki wa kongo nimeikumbuka freddy nelson ya extra musica, kisha alikuwa anapenda kuweka mkanda wa michael jackson video yangu bora ikiwa do you remember the time.

Miaka ya 90 na kitu hiyo kurasini hapo kuna mzee anaitwa baba belinda kama sijamsahau vizuri, anatuuzia na ice cream za ubuyu nzuri sana
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom