Ni movie inahusiana na jamaa ambaye ni mstaafu wa jeshi anajikuta anamsaidia bidada mrembo ambaye alikuwa kwenye Hali mmbaya ambaye hamfahamu.
Bidada huyo hana kumbukumbu kwa kile kilichomtokea jamaa anaamua kuishi nae na kujikuta anahisia za kumpenda dada huyo mzuri but kuendelea kuwa nae karibu anajikuta anajiingiza kwenye matatizo bila kutarajia unafikiri huyo Binti ni Nani? Na hayo matatizo ni yapi