mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
Kwa kweli kwa kasi hii ya rais wetu naiona Tanzania mpya baada ya miaka mitano ijayo. Nakumbuka kipindi cha nyuma kufuatilia tu TANESCO ili ufungiwe Luku au ubadilishiwe mita za zamani upewe luku ilikuwa shida sana utazungushwa mpaka uchoke, leo wafanyakazi wa tanesco wanazunguka nyumba baada ya nyumba wanabadilisha wenyewe.
Mungu ni mwema tumepata rais wa kweli baada ya miaka 30. Picha nimepiga kwa mbali kidogo
Mungu ni mwema tumepata rais wa kweli baada ya miaka 30. Picha nimepiga kwa mbali kidogo