Sijali
JF-Expert Member
- Sep 30, 2010
- 2,700
- 1,857
Walidhania Magu ni 'one of us' kuuuumbe......hawakuonyeka kwa yaliyotokea Zambia na Malawi. Ukweli ni kuwa hata kukiwa na ufisadi namna gani kuna watu wachache wenye uchungu na nchi yao. Safari hii kungekuja rais kama JK jeshi lingetwaa nchi!
Acha ale mihela yake huko Msoga, hataifurahia. Furaha ya pesa ni kupewa heshima.
Acha ale mihela yake huko Msoga, hataifurahia. Furaha ya pesa ni kupewa heshima.