rushanju
JF-Expert Member
- Nov 3, 2011
- 3,131
- 4,620
Mimi katika uchunguzi wangu, ningeanza na mwenye kituo Cha Bigbon cha KARIAKOO.
Yeye alihisi nini mpaka kufunga kituo hiki siku chache kabla ya moto kuteketeza hilo eneo?
Kwa haraka mtu wa kawaida anaweza kumhusisha mwenye hicho kituo na huo moto.
Yeye alihisi nini mpaka kufunga kituo hiki siku chache kabla ya moto kuteketeza hilo eneo?
Kwa haraka mtu wa kawaida anaweza kumhusisha mwenye hicho kituo na huo moto.