Moto wa ACT Umezimikia wapi?

Moto wa ACT Umezimikia wapi?

Weston Songoro

JF-Expert Member
Joined
Feb 17, 2014
Posts
2,793
Reaction score
1,086
Wadau, kwa siku kadhaa kumekuwa na vuguvugu la chama kipya cha ACT kujiimarisha kwenye mikoa ya Katavi, Kigoma na Tabora.

Katika vuguvugu hilo, tumeshuhudia mada kadhaa zikianzishwa humu JF kwa lengo la kunakshi harakati hizo. Binafsi nilidhani kuwa huo ndo mwanzo wa mabadiliko ndani ya siasa za upinzani nchini na nilitegemea kuwa harakati hizo zitaendelea kwenye mikoa mingine.

Hata hivyo, mpaka sasa hali imepoa na hakuna dalili kuwa harakati hizo zitaendelea tena. Hali hii imenishtua na najiuliza, je ni kweli ACT ni chama makini cha Upinzani au ni mchezo wa kuigiza kama wafanyavyo CHADEMA?
 
Wadau, kwa siku kadhaa kumekuwa na vuguvugu la chama kipya cha ACT kujiimarisha kwenye mikoa ya Katavi, Kigoma na Tabora. Katika vuguvugu hilo, tumeshuhudia mada kadhaa zikianzishwa humu JF kwa lengo la kunakshi harakati hizo. Binafsi nilidhani kuwa huo ndo mwanzo wa mabadiliko ndani ya siasa za upinzani nchini na nilitegemea kuwa harakati hizo zitaendelea kwenye mikoa mingine. Hata hivyo, mpaka sasa hali imepoa na hakuna dalili kuwa harakati hizo zitaendelea tena. Hali hii imenishtua na najiuliza, je ni kweli ACT ni chama makini cha Upinzani au ni mchezo wa kuigiza kama wafanyavyo CHADEMA?

Chabruma una matatizo ya akili. Chadema waigiza? Swala katiba kaleta nani nchini nakuwatoa watz matongotongo kuwa ni mbovu kama co chadema? Chadema wanaongoza nchi indirectly. Hiki ni chama kikubwa babu lao. Vijana tunakisupot kwa nguvu zetu zote kwa garama yeyote ile.
 
Chabruma una matatizo ya akili. Chadema waigiza? Swala katiba kaleta nani nchini nakuwatoa watz matongotongo kuwa ni mbovu kama co chadema? Chadema wanaongoza nchi indirectly. Hiki ni chama kikubwa babu lao. Vijana tunakisupot kwa nguvu zetu zote kwa garama yeyote ile.
Utakuwa umechanganyikiwa wewe. Kuna mahala nimeandika kuwa CHADEMA wanaigiza?
 
Utakuwa umechanganyikiwa wewe. Kuna mahala nimeandika kuwa CHADEMA wanaigiza?

Umeandika mwenyewe na hujui ulichondika? Umesema je ni kweli act wako makini au ni mchezo wa kuigiza kama wasemavyo chadema. Refer properly your comments/writings
 
Chabruma una matatizo ya akili. Chadema waigiza? Swala katiba kaleta nani nchini nakuwatoa watz matongotongo kuwa ni mbovu kama co chadema? Chadema wanaongoza nchi indirectly. Hiki ni chama kikubwa babu lao. Vijana tunakisupot kwa nguvu zetu zote kwa garama yeyote ile.

Uctuongelee mkuu...semea nafsi yako tu..Chdma chama cha matapeli
 
Waswahili wana msemo wao kuwa ngoma ikivuma sana mwisho wake hupasuka

Utakuwa umechanganyikiwa wewe. Kuna mahala nimeandika kuwa CHADEMA wanaigiza?

Umeandika mwenyewe na hujui ulichondika? Umesema je ni kweli act wako makini au ni mchezo wa kuigiza kama wasemavyo chadema. Refer properly your comments/writings
Hizo ndo comments zangu hapo juu. Ni wapi nimeandika kuwa chadema wanaigiza?
 
Back
Top Bottom