Ushabiki wa siasa unahitaji uwe na roho ya maiti!
anamaanisha MOROGORO KUSINI kule kisaki, matombo, ngerengere, mvuha, mkuyuni, duthumi, etc kwa mbunge mama Lucy Nkya, huyu maza kashindwa wizara ya afya na ubunge nao umeshamshinda, M4C inamngojea 2015 kumng'oa.Hakuna jimbo linaloitwa Morogoro Vijijini! Hakuna Wilaya inayoitwa Morogoro Vijijini! Huu msamiati umeutoa wapi?
anamaanisha MOROGORO KUSINI kule kisaki, matombo, ngerengere, mvuha, mkuyuni, duthumi, etc kwa mbunge mama Lucy Nkya, huyu maza kashindwa wizara ya afya na ubunge nao umeshamshinda, M4C inamngojea 2015 kumng'oa.
thanx kwa MUONGOZO mkuu!.Morogoro Kusini(Matombo, Kisaki, Dutumi, Tawa, Kibungo juu, Kibungo chini, Mvuha) mbunge wake ni Inocent Kalogeresi. Lucy ni wa Morogoro Kusini Mashariki - Kiloka, Mkuyuni, Kinole, Ngerengere, Kidugalo, Tununguo, Mkambarani, Mikese, Kibuko.
thanx kwa MUONGOZO mkuu!.
Hakuna jimbo linaloitwa Morogoro Vijijini! Hakuna Wilaya inayoitwa Morogoro Vijijini! Huu msamiati umeutoa wapi?[/QUOT
Halijatajwa jimbo hapo.Hiyo ni Morogoro vijijini.
Ikoje, maiti ana roho?