First Born
JF-Expert Member
- Jul 11, 2011
- 5,310
- 1,473
- Thread starter
- #41
<br />Life has changed a lot <br />
Wanafunzi wanaenda shule sijui kukua au kuona maisha yanaendaje <br />
Ila ukweli halisi ni kuwa jhawawezi kufanya hayo kwa sasa <br />
Tunahitaji juhudi za kisasa katika kufikia lengo la kuwafanya wanafunzi waelewe ni nini wanafanya shule
<br />
Haya nakupa idea nyingine,
Is it possible kwa Mheshimiwa rais kuongoza nchi effectively while he is just traveling kila paitwapo leo? Is possible? Pres dar mwenyewe mtu wa kuchekacheka do you think wauza mafuta wataona yuko serious na ishu alioitangaza ya kushusha bei ya mafuta?
Is it possible?