Dr Lizzy
Platinum Member
- May 25, 2009
- 30,808
- 59,326
Hhahahaha...now i get ya!!Hutaki kumaliza bundle ehhh?!Partner comfortability does not only mean doing it also means downloading cost....lol
Hhahahaha...now i get ya!!Hutaki kumaliza bundle ehhh?!Partner comfortability does not only mean doing it also means downloading cost....lol
Hhahahaha...now i get ya!!Hutaki kumaliza bundle ehhh?!
I have to admit i have all those movies in my collection with an exception of STAR TREK...
Na pamoja na kusema they are high quality ni definitely pirated...lol
Mie sijaiona hata moja lol.
Hahahaha....kaazi kweli kweli!!Kila kitu kinaenda kwa mgao....Kwanza kwa bundle hata sijisumbui... kwa ku browse kwenyewe unakua na modem mbilimoja ikigoma unaenda mtandao mwingine.. kaazi kweli kweli...lol
Labda nyie mapacha msiojuwana...!ha ha ha.... mmmh! naangalia hivi katika subscribed topics naona Faiza Foxy...
nikashangaa what is she doing hapa ktk entertainment??? lol
No wonder hujaangalia.. BUT ngoja turudi nyuma... wewe si unasemekana ni mimi??
Hivi katika forums unazotembelea bado unakutana na hii??
(alafu kuna topic hujanijibu kweny siasa kule...)
Ni kweli unayosema, hawa jamaa wachoyo sana, yaani hata ukinunua DVD au CD hawataki hata umuazime ndugu yako au hata jilani, wao wanataka kila mtu anunue kopi yake.X-P mimi siwaoneii hata huruma, the entertainment industry in hollywood
makes loads of money acha hizi wanazokosa kwa njia ya Piracy!
Piracy inaniboa tu Bongo, ingawa kimtindo nimo...
ha ha ha.... mmmh! naangalia hivi katika subscribed topics naona Faiza Foxy...
nikashangaa what is she doing hapa ktk entertainment??? lol
No wonder hujaangalia.. BUT ngoja turudi nyuma... wewe si unasemekana ni mimi??
Hivi katika forums unazotembelea bado unakutana na hii??
(alafu kuna topic hujanijibu kweny siasa kule...)
Nina juwa sana kuwa kwenye masuhala ya internet hakuna siri, kila unacho kifanya kikitakiwa kinapatikana, hata uki delete wakikitaka kinakuja kama ukukiondoa vile.Swali sio kuwa kuna program ya kutrack au la swali ni siku ISP wako akibanwa atakutaja au hapana? Maana ISPs wana info zote za nini ulidownload site gani umetembelea and blah blah sasa wakitwangwa na mlawsuit wa kufa mtu lazima wakuunguze tu.
Nimewakamata ma"Pirates of the Caribbean." Aisee, hivi mnawezaje kutazama movie zote hizo? Nimenunua Harry Potter, 2012, AEONFLUX etc lakini hakuna hata moja niliyomaliza kutazama. Hizo terabytes za movie naona kama mnanidanganya.
@FaizaFoxy
Umepotea njia, usije ukalianzisha na huku...................
Hahahaha....kaazi kweli kweli!!Kila kitu kinaenda kwa mgao....
Labda nyie mapacha msiojuwana...!
Dah! yaani kama wanayo program ya ku track wanao pakuwa muviz kiharamia, naona watanibamba, maana nina 2+TB just muviz tu, na bado mzigo unaendelea kuongezeka... kazi ni hapo wataka ponambia nilipe kila muvi moja jasti $1, nimekwisha!!
Ni kweli unayosema, hawa jamaa wachoyo sana, yaani hata ukinunua DVD au CD hawataki hata umuazime ndugu yako au hata jilani, wao wanataka kila mtu anunue kopi yake.
Mie na randa randa koote tu, nothing much to do, killing the boredom hapa, ila kuna watu wako serious humu, mnhhhh. Ntapitia huko kwenye siasa, nikiikuta ntakujibu.
Halafu hiyo list ya movies nimei save ngoja niingie kwenye ma torrent, nizi download, labda they'll keep me away for some time, did you notice, its addictive here!
Nimewakamata ma"Pirates of the Caribbean." Aisee, hivi mnawezaje kutazama movie zote hizo? Nimenunua Harry Potter and the goblet of fire, 2012, AEONFLUX etc lakini hakuna hata moja niliyomaliza kutazama. Hizo terabytes za movie naona kama mnanidanganya.
@FaizaFoxy
Umepotea njia, usije ukalianzisha na huku...................
Hapo sasa, alafu hawalalamiki kuwa ni pirate.Kumbe na wewe una pirate safi.
Kuna jamaa wananisshangaa mm navypenda pirate wakati mi nawashangaa wao wanaibiwa kwa kunua movie za wachina amabo pirated alafu wanauziwa.
Usijali 3D hapa ni "entertainment" kwa kwenda mbele. lol, duhh nimetoka nyuzi moja huko kuna mtu leo anahasira ya kufa! naona kama ana mke leo ataipata.. JF kuna vituko sijapata kuona, kaitukana JF yote, waliokuwemo na wasiokuwemo.
Well, I have got to go. But I must say one thing.... honestly..... It's so strange to see FF speaking as friendly as this. To me.. a suprise of the day. I wish you were this person at least once a week.. I mean it. However, this is not what we should discuss now... so enjoy. Love you all.