Most beautiful MPs 2015-2020

Lord Diplock MR

JF-Expert Member
Mar 16, 2015
1,393
3,234
Wafuatao ni wabunge warembo zaidi katika lililokuwa bunge la 2015-2020 lililovunjwa mwezi huu June 16

1. Upendo Peneza

Huyu alikuwa mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CHADEMA akiwakilisha mkoa wa Geita

69630222-3C3C-423F-A6F3-3C94768CD767.jpeg


2. Halima Bulembo

Huyu alikuwa mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CCM.

54808DF8-2160-4C6F-80EE-E752650A0824.jpeg


3. Bonnah Kalua

Huyu alikuwa mbunge wa jimbo la segerea kwa tiketi ya CCM.

67DE1F09-E900-4532-A8B3-1F0DB6F411DA.jpeg


4. Ester Matiko

Huyu alikuwa mbunge wa Tarime mjini kwa tiketi ya CHADEMA.

F6BB2072-7FA4-4B21-9147-E94C618523DC.jpeg


5. Catherine Ruge

Huyu ni mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CHADEMA.

C0495D6D-2BDF-4F13-A510-977EAEEC6A8D.jpeg


Mimi kwa upande wangu nimeona hao tu, ruksa kuongezea katika orodha. Je, wewe kwa upande wako unaona ni mbunge gani mwingine alikuwa mrembo zaidi katika bunge la Ndugai la 2015-2020.
 
Ni msabato, wasabato hawapendelei sana kujipakapaka mavitu usoni
Hapo Upendo Peneza anawazidi wote.
Umemtendea haki kuwa No.1
Niliwahi kumuona kabla hajawa Mbunge ni Mzuri mno mno.. halafu ni wale wa Dada wasiopaka Mavitu usoni.. hata Wanja, lipstick hapaki.. yupo Natural sana..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom