Lord Diplock MR
JF-Expert Member
- Mar 16, 2015
- 1,393
- 3,234
Wafuatao ni wabunge warembo zaidi katika lililokuwa bunge la 2015-2020 lililovunjwa mwezi huu June 16
1. Upendo Peneza
Huyu alikuwa mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CHADEMA akiwakilisha mkoa wa Geita
2. Halima Bulembo
Huyu alikuwa mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CCM.
3. Bonnah Kalua
Huyu alikuwa mbunge wa jimbo la segerea kwa tiketi ya CCM.
4. Ester Matiko
Huyu alikuwa mbunge wa Tarime mjini kwa tiketi ya CHADEMA.
5. Catherine Ruge
Huyu ni mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CHADEMA.
Mimi kwa upande wangu nimeona hao tu, ruksa kuongezea katika orodha. Je, wewe kwa upande wako unaona ni mbunge gani mwingine alikuwa mrembo zaidi katika bunge la Ndugai la 2015-2020.
1. Upendo Peneza
Huyu alikuwa mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CHADEMA akiwakilisha mkoa wa Geita
2. Halima Bulembo
Huyu alikuwa mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CCM.
3. Bonnah Kalua
Huyu alikuwa mbunge wa jimbo la segerea kwa tiketi ya CCM.
4. Ester Matiko
Huyu alikuwa mbunge wa Tarime mjini kwa tiketi ya CHADEMA.
5. Catherine Ruge
Huyu ni mbunge wa viti maalumu kwa tiketi ya CHADEMA.
Mimi kwa upande wangu nimeona hao tu, ruksa kuongezea katika orodha. Je, wewe kwa upande wako unaona ni mbunge gani mwingine alikuwa mrembo zaidi katika bunge la Ndugai la 2015-2020.