hii shule ni ya ngapi kitaifa??
fafanua kauli yako
Yaani imekuwa ya ngapi katika matokeo ya formsix
mkuu hujajibu swali imekuwa nafasi ya ngapi kitaifa? mfano taboraboys mwaka2012 imekuwa ya nane,kibaha ya 4,Ya kwanza katika kutoa wanafunzi wenye uwezo kwa kujiajiri pasipo kuitafuta Elimu ya juu.
Pia ni ya kwanza kutoa wanafunzi wenye uwezo haswa na sio kama wale wanaotafuniwa na waalimu wao.
Ya kwanza kutoa wanafunzi wanaofanya vizuri kwenye vyuo mnavyojisifia kwa ubora( Hii shule huwatoa hao wanaozipa sifa hizo college zenu).
Ya kwanza kutoa wajenzi haswa wa taifa hili( Tafuta kwa google).
Ya kwanza kutoa wanafunzi wenye uwezo wa juu kuchanganua na kukabiliana na maana nzima ya maisha ya kutafuta.
uliza kingine....mpenda ligi zisizo na msingi.
hii shule kwa sasa ni chaka la vilaza sijawahi kuiona hata kwenye nafasi 20 kitaifa, shule imelala,wanafunzi wamelala
we ndo umelala tena kilaza mwenyewe..njoo uione technical mpya katika kutoa watu wenye uwezo ktk nyanja mbalimbali bila ubabaishaji wowote, jipange!
mkuu hujajibu swali imekuwa nafasi ya ngapi kitaifa? mfano taboraboys mwaka2012 imekuwa ya nane,kibaha ya 4,
hii kwa sasa sio shule kabisa mbovu inachukua mpaka iii.25 wanafunzi wabovu,,,
MKuu shule bora zipo ambazo ni mzumbe,kibaha,taboraboys,kilakala,taboragirls,msalato,marian,feza bhaaasKijana.......kijanaaaaa amka fanya tafiti siyo mnakuja shadadia mada hapa jf,nimesoma na hao mnaowaita vilaza,nimekula nao nimelala nao na wengine tumewekana mjini hadi hii leo.....
Hivi ushawahi jipa muda wa kuitembelea hiyo shule,umewahi shiriki ktk majadiliano na wanafunzi wa hiyo shule?
Acha ngebe kijana.
(Kumbuka hakuna shule bora),ila kuna WANAFUNZI BORA.
hii shule kwa sasa ni chaka la vilaza sijawahi kuiona hata kwenye nafasi 20 kitaifa, shule imelala,wanafunzi wamelala
we ndo umelala tena kilaza mwenyewe..njoo uione technical mpya katika kutoa watu wenye uwezo ktk nyanja mbalimbali bila ubabaishaji wowote, jipange!
Moshi technical ni ya ngapi kitaifa??, inachukua vilaza suguu nina marafiki zangu wapo hapo form six walikuwa na matokeo mabovu wapo PCM HAPO O LEVEL WALIKUWA NA > D D C wanasoma hapo hiyo sio shule ni chaka la vilaza
Head master wa sasa ni mzuri sana,anafundisha math form six na pia anafuatilia sana maendeleo ya kila mwanafunzi pamoja na ufundishaji wa waalimu.lazima tutafaulu tu tena vizuri
Duh.... Umenikumbusha mbali sana!
Nilisoma shule hiyo, nikiwa Azimio House, Dorm 1
MKuu shule bora zipo ambazo ni mzumbe,kibaha,taboraboys,kilakala,taboragirls,msalato,marian,feza bhaaas
Moshi technical ni ya ngapi kitaifa??, inachukua vilaza suguu nina marafiki zangu wapo hapo form six walikuwa na matokeo mabovu wapo PCM HAPO O LEVEL WALIKUWA NA > D D C wanasoma hapo hiyo sio shule ni chaka la vilaza
huo uquda mtoto wakiume
unamfahamu ticha koba
hahahahaha mmenkumbuxha mbali xana nmekaa pale mkwawa 27 bwen zur kuliko lote pale teki mim ni 4m4 leaver wa 2013 dah pa1 xana wanateki
Amefariki lini huyu mtu??Mimi nilikuwa nakaa Karume Dorm 33,je Mzee Ugedede bado yupo?Najua Mwalimu Daffa amefariki!Kitambo sana!Nilisoma O-level!!
Sent from my BlackBerry 9700 using JamiiForums