Moshi pameendelea, ni kama Ulaya

kimsboy

JF-Expert Member
Joined
Oct 17, 2016
Posts
11,185
Reaction score
24,565
Moshi ni kama Ulaya tu nenda uchagani na upareni kule Usangi uone maendeleo

Nenda chuga uone

Watu wa kaskazini maendeleo hayakuletwa na hizo serikali zenu haramu

Sisi hatuongozwi kizembe na mtu kutoka Zanzibar aliyefeli masomo yote form 4 kasoro kiswahili ndo alipata C tu.

Sisi ndo kaskazini bwana, we are proud huyo mamaenu hatumtambui

Hebu niendelee kulewa mimi
 
Ukimaliza kulewa,
Ukumbuke kunywa ile dozi, maana umeacha maelekezo ya madaktari ukizingatia toka moshi hadi dodoma kuna kaumbali kidogo
 
Vipi umeshindwa kuandamana umebaki kutukana mtandaoni? Nyumbu we ungetoka kufanya unyumbu wako uone shenz type.
 
Huyu rais ni haram na uwezo wake ni mdogo nakuunga mkono lakini Arusha na Kilimanjaro hakuna maajabu.
 
Tumeona hayo mapanda kama mnafuga mifugo ,udongo umechaka sana nyummba za huko...
 
Hujaandamana??? D25 veeeeepe 🤣🤣🤣🤣🤣🤣
 
Hata kama ulaya hujafika, Hata Kwenye Movies huoni?

Unafananisha Ulaya na mji wa December 😃
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…