Duuh. Apumzike kwa Amani.
Halafu sijuagi kwa nini mbali na matukio chungu nzima ya watu kufa baada ya kutumia hizo dawa lakini bado watu hawajifunzi.
Aiseee kutaka show za kibabe hizi mmh
Amekufa akitetea hadhi ya ukoo wake,marehem kafa kifo cha kishujaa sana
Mmh. Hamna kitu kama hicho bana.Tatizo wanawake wanapenda kukunwa none stop whole night
Aiseeee umesema
Angekuwa mwanaume wa Dar leo kungewaka moto humu ndani! Lakini sasa kwa vile ni wa mikoani husikii kelele na mpishano hapa jamvini!!
Mmh. Hamna kitu kama hicho bana.
Ooh. Sawa Mkuu.Labda wewe ndiye hupendi.
Ila wenzako utasikia aaagh yani kimoja tu hoiii
Eeh,,, wamezidi kutusema sisi wa darJamaa amewakilisha vema wanaume wa mikoani