Moshi: Madiwani wa Halmashauri ya Moshi (CHADEMA) Waingiza magari Matatu yakuzolea Taka

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899


Madiwani wa halmashauri ya manispaa ya Moshi wakiongozwa na mstahiki Meya, mheshimiwa Raymond Mboya wakipokea Magari Mapya matatu (3) ya Kuzoa taka yaliyowasili Leo! Kazi kubwa ya Baraza la Madiwani wakiongozwa na CHADEMA......tumetekeleza tena, tulichoahidi, mmetuamini tunarejesha imani yenu kwetu kwa huduma zilizotukuka, MUNGU ibariki Tanzania, MUNGU ibariki Moshi na Watu Wake

moshi.jpg
 
Nzi WA kijani watakujakubomoa.


Madiwani wa halmashauri ya manispaa ya Moshi wakiongozwa na mstahiki Meya, mheshimiwa Raymond Mboya wakipokea Magari Mapya matatu (3) ya Kuzoa taka yaliyowasili Leo! Kazi kubwa ya Baraza la Madiwani wakiongozwa na CHADEMA......tumetekeleza tena, tulichoahidi, mmetuamini tunarejesha imani yenu kwetu kwa huduma zilizotukuka, MUNGU ibariki Tanzania, MUNGU ibariki Moshi na Watu Wake
 
Naipongeza Halmashauri ya Moshi kuanzia Mkurugenzi, Meya, Madiwani, Wafanyakazi wote wa Halmashauri ya Moshi pamoja na wananchi wa Moshi kwa kulipa kodi ambazo zimewezesha halmashauri kununua Magari hayo. Kubwa zaidi tuyatunze vzr. Umoja ni nguvu na Kugawana kwa misingi ya vyama halitusaidii wana Moshi. Kila mmoja nampongeza kwa nafasi yake.

Kikubwa sasa Halmashauri mpambane kutuwekea taa mpya za sola kwa ajili ya barabara zetu
 
Safi saana kwa maendeleo ya nchi yetu.

Huku magari ya Usafi na huku pia magari ya kubeba Maiti.
 


Madiwani wa halmashauri ya manispaa ya Moshi wakiongozwa na mstahiki Meya, mheshimiwa Raymond Mboya wakipokea Magari Mapya matatu (3) ya Kuzoa taka yaliyowasili Leo! Kazi kubwa ya Baraza la Madiwani wakiongozwa na CHADEMA......tumetekeleza tena, tulichoahidi, mmetuamini tunarejesha imani yenu kwetu kwa huduma zilizotukuka, MUNGU ibariki Tanzania, MUNGU ibariki Moshi na Watu Wake

View attachment 973192
Kule kwa wagogo walinunuliwa la kubebea maiti zilizokufa
 
Naipongeza Halmashauri ya Moshi kuanzia Mkurugenzi, Meya, Madiwani, Wafanyakazi wote wa Halmashauri ya Moshi pamoja na wananchi wa Moshi kwa kulipa kodi ambazo zimewezesha halmashauri kununua Magari hayo. Kubwa zaidi tuyatunze vzr. Umoja ni nguvu na Kugawana kwa misingi ya vyama halitusaidii wana Moshi. Kila mmoja nampongeza kwa nafasi yake.

Kikubwa sasa Halmashauri mpambane kutuwekea taa mpya za sola kwa ajili ya barabara zetu
chini ya Chadema yote yatafanyika namini
 
Back
Top Bottom