Moshi: Juma Raibu ang'olewa aunganishwa na Ole Sabaya kesi ya uhujumu uchumi

Hivi yule waziri Angela kairuki si alitanabaisha kwamba wakuu wa wilaya,mikoa si watumishi wa uma kwenye like sakata la vyetiii feki

How leo charge sheet inadai hao watuhumiwa ni public officers
 
Na ninyi CCM wakubwa kwa wadogo muwe makini wakati ujao.

Mnapofurahia eti kwa kuwa wasulubiwa ni CHADEMA tujifanye hatuoni wala kusikia mkumbuke mnao watesa wana watu, ndugu na jamaa wengi tu.

Jinsi unavyo watesa leo ndivyo unavyozidi kujitengenezea uadui na hatari ya baadae ambayo inaepukika kwa kutuliza akili yako kidogo tu.

Hongera sana utawala wa mama Samia.

Unafundisha wengi ukiwa mkuu, mwenye mamlaka makubwa sio lazima kutiisha watu kwa kuwakosesha amani au kuwadhuru ili wakuheshimu au wakutii. Kwasababu una njia nyingi za kuwatiisha bila vurugu zisizo lazima na Mwenyezi Mungu atakusaidia bila shaka.
 
Mbona kuna makosa makubwa ya kiuandishi kwenye hiyo Hati ya Mashtaka? Tafadhalini Mawakili wenzangu wa Serikali, umakini unatakiwa wakati wa kuandaa nyaraka kama hizi. Wakati mwingine makosa haya huyumbisha hata shauri zima. Masahihisho yafanyike mapema!
Mkuu kada yetu imevamiwa na incompetent personel sijajua hata kama incharge wao alifanya vetting ya proof reading
 
Mbona kuna makosa makubwa ya kiuandishi kwenye hiyo Hati ya Mashtaka? Tafadhalini Mawakili wenzangu wa Serikali, umakini unatakiwa wakati wa kuandaa nyaraka kama hizi. Wakati mwingine makosa haya huyumbisha hata shauri zima. Masahihisho yafanyike mapema!
 
Ally Hapi, Mnyeti, Jerry Muro hawakufanya ujambazi, wao ni siasa tu. Ukifatilia Kwa undani Hawa mabwana walikuwa wanasaidia wananchi Sana, wakitatu CHANGAMOTO za wananchi BILA kujali itikadi na Imani zao na bila kiathiri utu wao.

KAZI IPO KWA GAMBO, GAMBO TUBU, TUBU NA UJIREKEBISHE. KUHUSU MAKONDA NYOTE MWAFAHAMU
Yote ni majangili tupu
 
Mbona kuna makosa makubwa ya kiuandishi kwenye hiyo Hati ya Mashtaka? Tafadhalini Mawakili wenzangu wa Serikali, umakini unatakiwa wakati wa kuandaa nyaraka kama hizi. Wakati mwingine makosa haya huyumbisha hata shauri zima. Masahihisho yafanyike mapema!
Wakili unge- highlight hayo makosa ya kiuandishi na sio kuandika jumla jumla kwamba chaji imekosewa!
 
... jamani CCM kumejaa majambazi sio mchezo! Kunahitajika reformation ya hali ya juu sana.
 
Kama mchakato utakamilika hadi mwisho na haki ikatendeka hapo nitaamini. Ila kwa hii sisiem ya mwaka 77 kwa maigizo hawajambo. Hivi ina maana kati ya 2015 hadi 2020 CCM nzima ilikua imelala? Usalama walilala? Jeshi la polisi walilala? Mambo ya hawa watu kama walifanya wenyewe bila baraka za chama na wakubwa wao hayakujulikana? Naendelea kuwa Tomaso hadi nipapase kwa mikono yangu mwenyewe.
inafikirisha sana
 
Mbona kuna makosa makubwa ya kiuandishi kwenye hiyo Hati ya Mashtaka? Tafadhalini Mawakili wenzangu wa Serikali, umakini unatakiwa wakati wa kuandaa nyaraka kama hizi. Wakati mwingine makosa haya huyumbisha hata shauri zima. Masahihisho yafanyike mapema!
Hivi hawa mawakili 'wenzenu' wa serikali huwa wanasoma vyuo tofauti na nyie?au wao huwa wanasomea kushindwa kesi?
 
Back
Top Bottom