peno hasegawa
JF-Expert Member
- Feb 24, 2016
- 12,773
- 21,327
Ole Sabaya = Juma Raibu Juma
Utawala wa sheria kwa namna hii utawafanya watawala waovu waogope na wafitike mbali.Ole Sabaya = Juma Raibu Juma
View attachment 2248774
When Good Gorvernonce no body is above LawsOle Sabaya = Juma Raibu Juma
View attachment 2248774
Magufuli aliharibu sana hii nchi.Ole Sabaya = Juma Raibu Juma
View attachment 2248774
Nina hakika, kutoka kwenye uharibifu mkubwa alioufanya, Tanzania itasimama na kustawi kwa kasi kubwa.Magufuli aliharibu sana hii nchi.
Mbona taarifa zipo wazi. Uovu wa Sabaya ulifikishwa mpaka kwa PM. PM alifikisha taarifa mpaka kwa jiwe, lakini jiwe, kwa vile alikuwa na roho ya uovu, iliyofurahia uovu anaoutenda Sabaya, hasa dhidi ya Mbowe, aliendelea kubariki ushetani ule.Kama mchakato utakamilika hadi mwisho na haki ikatendeka hapo nitaamini. Ila kwa hii sisiem ya mwaka 77 kwa maigizo hawajambo. Hivi ina maana kati ya 2015 hadi 2020 CCM nzima ilikua imelala? Usalama walilala? Jeshi la polisi walilala? Mambo ya hawa watu kama walifanya wenyewe bila baraka za chama na wakubwa wao hayakujulikana? Naendelea kuwa Tomaso hadi nipapase kwa mikono yangu mwenyewe.
kuna siku niliandika kwa stahili yake ya kujifanya mkubwa kuliko alipopatia dhamana ipo day.Ole Sabaya = Juma Raibu Juma
View attachment 2248774
Raibu aliwahi kutajwa kwenye sakata la mfanyabiashara Elioth Lyimo, aliyedai kuchukuliwa fedha zake Sh25 milioni na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Hai, Lengai Ole Sabaya kwamba wakati akizichukua alikuwa na Raibu.Ole Sabaya = Juma Raibu Juma
View attachment 2248774
Sabaya matendo yake hayakuwa ya kificho,Mbona taarifa zipo wazi. Uovu wa Sabaya ulifikishwa mpaka kwa PM. PM alifikisha taarifa mpaka kwa jiwe, lakini jiwe, kwa vile alikuwa na roho ya uovu, iliyofurahia uovu anaoutenda Sabaya, hasa dhidi ya Mbowe, aliendelea kubariki ushetani ule.
Katika uovu wa Sabaya, umwone jiwe.
Ni fundisho kwa wengineUtawala wa sheria kwa namna hii utawafanya watawala waovu waogope na wafitike mbali.
Aisee....Mbona kuna makosa makubwa ya kiuandishi kwenye hiyo Hati ya Mashtaka? Tafadhalini Mawakili wenzangu wa Serikali, umakini unatakiwa wakati wa kuandaa nyaraka kama hizi. Wakati mwingine makosa haya huyumbisha hata shauri zima. Masahihisho yafanyike mapema!
U-Meya alishang'olewa tangu mwezi AprilOle Sabaya = Juma Raibu Juma
View attachment 2248774
Ally Hapi, Mnyeti, Jerry Muro hawakufanya ujambazi, wao ni siasa tu. Ukifatilia Kwa undani Hawa mabwana walikuwa wanasaidia wananchi Sana, wakitatu CHANGAMOTO za wananchi BILA kujali itikadi na Imani zao na bila kiathiri utu wao.Mbona Mnyeti, Makonda, Mrisho Gambo, Ally Hapi, Jerry Muro bado wapo uraiani?