Moshi academy huu ni zaidi ya unyama

Moshi academy huu ni zaidi ya unyama

MOSHI- ACADEMY
M-ungu
O-nesha
S-ehemu
H-ela
I-po
POLE SANA DADA HAPO NI MKWANJA TU, MASWALA YA MALEZI NA THAMANI YA MWANAO NI WEWE TU:confused2:
Tafakari Chukua Hatua:closed_2:
 
Mtoa mada ameonyesha udhaifu mkubwa sana kimalezi. Ni udhaifu mkubwa; ni unyanyaji kwa kumpeleka mtoto mdogo shule ya kulala. Watoto wadogo wanahitaji uangalizi wa karibu wa wazazi ili kujua miiko, mila, tamaduni n.k vya jamii yao. Waswahili wanasema "kazi sio kuzaa mwana, bali kulea mwana. Naona wazazi walielimika wanazaa kisha kuwapa watu hela za kulea watoto wao ili hali bado wadogo. Hao wafanyabiashara wakiboronga, wazazi au walezi husika wanathubutu kulalama hadharani.

Jaribu kujiuliza, hao abiria kwenye KLM walipataje adha ya kuwatunza watoto wa watu walioelimika na kutajirika kisha kusahau majukumu yao ya msingi kama wazazi.

Huyo mtoto (kimoyomoyo) anamlaumu mzazi kwa unyanyasaji anaoupata, kisha baadaye anawalaumu waalimu na walezi wa shule. Unyanyasaji aliofanyiwa hautafutika kirahisi moyoni mwake.

Serikali kupitia Wizara ya Elimu imeshakataza kupeleka watoto wadogo shule za kulala, ila kuna watu wanaona 'kuwatesa' kwa sababu dhaifu sana ya 'Elimu bora, ni ufahari.
Alichofanya mtoa mada kisaikolojia kinatafsiriwa kama Projection.
"KILA MTU ATAVUNA ALICHOPANDA", KILA MTU ATABEBA MZIGO WAKE"
 
Mkuu,nimemshauri hapo juu huyu mleta mada kuwa haitoshi kukalia keyboard nyumbani Dar na kutuma uzi JF! Kama kweli ni mzazi anayejali anapaswa kufuatilia kwa undani swala hili ili kubaini tatizo liko wapi na achukue hatua staiki! Kama wameweza kufanya hili ina maana kwamba hata yale malezi ya kila siku ya watoto huko shuleni ni tabu!

Ni kweli mkuu, cha muhim afuatilie shuleni. Cha kuskitisha kuna tiketi wale wahudum walipewa wakaambiwa kuna mlezi atakayepandia njia panda himo ndo atakaeongozana na watoto. Na kweli alipewa tiketi akaingia kwenye gari, cha kusikitisha alikuwa bize na mwanae ambae nae anasoma moshi academy. Hakuonyesha upendo kwa wengine na alikuwa amekaa seat no.6. Watoto walikuwa nyuma, walivyoanza kutapika alifuatwa ili atoe msaada alikana kwamba hayuko nao kamfata 2 mwanae wkt ripoti za watoto yy ndo alikuwa nazo. Na ndo aliwakabidhi kwenye gari pamoja na hizo kalenda. Inauma mkuu usije ukampeleka mwanao boarding kama ni mdogo ni mateso. Hii shule imeonyesha udhaifu
 
Pole sana mzazi mwenzangu! Nchi hii kila mtu anajifanyia kazi jinsi atakavyo, hata kama iko miiko ya kazi anaisahau! Ni ngumu kufikiria: je, gari lingepata tatizo njiani na kuchelewa kufika mapema ingekuwaje kwa mtoto mdogo kama huyo?
Tafadhali mleta mada fanya bidii ufike shuleni na kuuliza ilikuwaje? Maana watarudia tena hao.
 
Tatizo ni kuiga utampelekaje mtoto under 5yrs bording mikoa ya mbali na unapoish? Sometimes imetokea dharura mtoto anaumwa sana na hali yake ni mbaya hivi mnafanyaje?mtu anampeleka mtoto uganda,kenya 3-4 unategemea nini wewe kama sio kutenganeza mashoga ninini,tena mtoa mada mkague huyo mtoto vizuri then utafakari kumrudisha au la
 
sitakuja kumpeleka mwanangu bording hata iweje! labda iwe secondary school sio primary.
 
Wahusika watapataje ujumbe kupitia JF.
 
sitakuja kumpeleka mwanangu bording hata iweje! labda iwe secondary school sio primary.
 
nko hospital tmj mwanangu kapakiwa leo kwenye basi la kilimanjaro bila taarifa kwa wazazi.ni bahati tu mlezi wake shule kuulizia kama mtoto wake alifika salaama maana kama sio yeye sijui ingekuwaje.nimemkuta mwanangu stand analia na kutapika bila msaada wa matron wala kutumiwa sms kuwa mwanangu anakuja kutoka shule.

Ni aibu kubwa kwa shule kama moshi academy kufanya mambo ya kijinga mnathamini hela kuliko utu, kuweni na utaratibu mzuri wa kusafirisha watoto. Bag lake limepotea staki kuamin eti mlitangaza kwenye radio na tv mnafikiri watu wote wanaskiliza radio? Na namba za simu tulijaza za nini?

update

mpaka leo bag la mtoto halijapatikana mkuu wa shule tarimo nashukuru kwa uamuzi uliotuahidi kulipa vitu vyote vya mtoto napenda ufahamu kuwa thamani ya mtoto haifananishwi na kitu chochote licha ya kujitetea kuwa kuna mzazi mlimkabibhi watoto, na wazazi wanaokaa dar walipitisha utaratibu wa wa kusafiri mmoja wao na watoto. Napenda nikuambie kuwa huo utaratibu sio mzuri na haufai hata kidogo ,jaribu kufikiri mtoto angepotea ungeniambia umempa mzazi fulani nani angekuelewa? Je sku nilimkabidhi nani huyo mtoto sku anakuja shule? Pili sio wazazi wote wenye uchungu na watoto kwani wapo wanao tupa watoto wao wa kuzaa wenyewe iweje mtoto wa mtu mwingine?
Tunasubiri kuona yale uliyoahidi yanatekelezwa.na sio maneno matupu
jambo hili stakaa nilisahau sku hiyo ilikuwa ngumu sana kwangu.
 
Sio kila shule ni mbaya. Inategemea na skili na utashi wa aliyepo .mfano mimi niko hapa himo binti darasa la tani yuko ritalisa .kuna siku nilikuwa naumwa nikamuomba jiranu tangu aje na mwanangu slimfuata mtoto wake.walahi hakupewa mtoto.hawsruhusu mtoto kutoka getini bila mzazi wake kukabidhiwa mkononi.
 
nko hospital tmj mwanangu kapakiwa leo kwenye basi la kilimanjaro bila taarifa kwa wazazi.ni bahati tu mlezi wake shule kuulizia kama mtoto wake alifika salaama maana kama sio yeye sijui ingekuwaje.nimemkuta mwanangu stand analia na kutapika bila msaada wa matron wala kutumiwa sms kuwa mwanangu anakuja kutoka shule.

Ni aibu kubwa kwa shule kama moshi academy kufanya mambo ya kijinga mnathamini hela kuliko utu, kuweni na utaratibu mzuri wa kusafirisha watoto. Bag lake limepotea staki kuamin eti mlitangaza kwenye radio na tv mnafikiri watu wote wanaskiliza radio? Na namba za simu tulijaza za nini?


update

mpaka leo bag la mtoto halijapatikana mkuu wa shule tarimo nashukuru kwa uamuzi uliotuahidi kulipa vitu vyote vya mtoto napenda ufahamu kuwa thamani ya mtoto haifananishwi na kitu chochote licha ya kujitetea kuwa kuna mzazi mlimkabibhi watoto, na wazazi wanaokaa dar walipitisha utaratibu wa wa kusafiri mmoja wao na watoto. Napenda nikuambie kuwa huo utaratibu sio mzuri na haufai hata kidogo ,jaribu kufikiri mtoto angepotea ungeniambia umempa mzazi fulani nani angekuelewa? Je sku nilimkabidhi nani huyo mtoto sku anakuja shule? Pili sio wazazi wote wenye uchungu na watoto kwani wapo wanao tupa watoto wao wa kuzaa wenyewe iweje mtoto wa mtu mwingine?
tunasubiri kuona yale uliyoahidi yanatekelezwa.na sio maneno matupu
jambo hili stakaa nilisahau sku hiyo ilikuwa ngumu sana kwangu.


kama mungu ananipa nguvu kwa kweli mwanangu bdn labdaa aende form 5
polen hao ni zaidi ya tembo
 
mtoa mada ameonyesha udhaifu mkubwa sana kimalezi. Ni udhaifu mkubwa; ni unyanyaji kwa kumpeleka mtoto mdogo shule ya kulala. Watoto wadogo wanahitaji uangalizi wa karibu wa wazazi ili kujua miiko, mila, tamaduni n.k vya jamii yao. Waswahili wanasema "kazi sio kuzaa mwana, bali kulea mwana. Naona wazazi walielimika wanazaa kisha kuwapa watu hela za kulea watoto wao ili hali bado wadogo. Hao wafanyabiashara wakiboronga, wazazi au walezi husika wanathubutu kulalama hadharani.

Jaribu kujiuliza, hao abiria kwenye klm walipataje adha ya kuwatunza watoto wa watu walioelimika na kutajirika kisha kusahau majukumu yao ya msingi kama wazazi.

Huyo mtoto (kimoyomoyo) anamlaumu mzazi kwa unyanyasaji anaoupata, kisha baadaye anawalaumu waalimu na walezi wa shule. Unyanyasaji aliofanyiwa hautafutika kirahisi moyoni mwake.

Serikali kupitia wizara ya elimu imeshakataza kupeleka watoto wadogo shule za kulala, ila kuna watu wanaona 'kuwatesa' kwa sababu dhaifu sana ya 'elimu bora, ni ufahari.
Alichofanya mtoa mada kisaikolojia kinatafsiriwa kama projection.
"kila mtu atavuna alichopanda", kila mtu atabeba mzigo wake"

sio kuteswa tu mkuuuu
ukiuliza hata wale mambo yetu wa vidole juu tena wengine wana posn kubwa tu serikalini wameanzia bdn walikuwa wakikasirisha wahudumu wanawaingiza vidole mbaya sana baada mtoto akikua anakuwa anatamani aguswe ni mbaya sna sema kazi zetu ndizo zinafanya wapeekwe huko

ndoa za sasa baba a narudi saa 4 usiku hata ukirudi saa tisa huna msaada mwisho unaamua bora tukahangaike na maisha wote
 
Acha uvivu, lea mtoto wako asome primary mikononi mwako,secondary ndio waweza muacha akae boarding
 
-------. Mie panapowahusu watoto sipendi upuuzi.
 
Naitamani ile enzi kama ingeweza kurudi.
Mie s/msingi nilisoma mita 250 toka nilipokuwa naishi!
Siku hizi mtoto wa miaka3 yuko boarding!
Wazazi hivi kweli tuko serious au ni mambo yakufuata mkumbo..?!

Dogo haendi boarding, kwa sababu lazima niwe nae kwa ukaribu. Huu ni Muda wa kua karibu nae akimaliza form four ataweza kwenda boarding kama anataka , akitaka kukaa home na Ndinga namchukulia I love you my daughter
 
Shule za bweni si nzuri kwa watoto,kuna matukio ninayoyasikia yanayofanyika huko,sitamani hata kumshawishi mtu apeleke mwanawe bweni,watoto wengi wakiume wanageuzana mashoga,na wa kike wanasagana.Na pia wanakutana na wenzao wanaotoka familia tofauti na utamaduni tofauti,wanaambukizana tabia za ajabu ajabu,kaa na mwanao,umlee vile unavyoona sawa kulingana na unavyotaka.
 
Chukua hatua haraka iwezekanavyo, BINAFSI NIMEAPA NA NINAOMBA MUNGU ANISAIDIE,sitokaa nimpeleke mwanangu bording akiwa primary,WATOTO WANATAKIWA WAKAE KARIBU NA WAZAZI WAO KWA KIPINDI CHOTE WAKIWA PRIMARY

hapo umeongea ukweli......
cku hizi zipo boarding hadi za watoto wa miaka miwili.
 
Back
Top Bottom