SUYA
Senior Member
- Jun 24, 2009
- 131
- 21
Nko hospital TMJ mwanangu kapakiwa leo kwenye basi la Kilimanjaro bila taarifa kwa wazazi.Ni bahati tu mlezi wake shule kuulizia kama mtoto wake alifika salaama maana kama sio yeye sijui ingekuwaje.Nimemkuta mwanangu stand analia na kutapika bila msaada wa matron wala kutumiwa sms kuwa mwanangu anakuja kutoka shule.
Ni aibu kubwa kwa shule kama Moshi Academy kufanya mambo ya kijinga mnathamini hela kuliko utu, kuweni na utaratibu mzuri wa kusafirisha watoto. Bag lake limepotea staki kuamin eti mlitangaza kwenye radio na tv mnafikiri watu wote wanaskiliza radio? na namba za simu tulijaza za nini?
update
mpaka leo bag la mtoto halijapatikana mkuu wa shule tarimo nashukuru kwa uamuzi uliotuahidi kulipa vitu vyote vya mtoto napenda ufahamu kuwa thamani ya mtoto haifananishwi na kitu chochote licha ya kujitetea kuwa kuna mzazi mlimkabibhi watoto, na wazazi wanaokaa dar walipitisha utaratibu wa wa kusafiri mmoja wao na watoto. Napenda nikuambie kuwa huo utaratibu sio mzuri na haufai hata kidogo ,jaribu kufikiri mtoto angepotea ungeniambia umempa mzazi fulani nani angekuelewa? Je sku nilimkabidhi nani huyo mtoto sku anakuja shule? Pili sio wazazi wote wenye uchungu na watoto kwani wapo wanao tupa watoto wao wa kuzaa wenyewe iweje mtoto wa mtu mwingine?
Tunasubiri kuona yale uliyoahidi yanatekelezwa.na sio maneno matupu
jambo hili stakaa nilisahau sku hiyo ilikuwa ngumu sana kwangu.
Ni aibu kubwa kwa shule kama Moshi Academy kufanya mambo ya kijinga mnathamini hela kuliko utu, kuweni na utaratibu mzuri wa kusafirisha watoto. Bag lake limepotea staki kuamin eti mlitangaza kwenye radio na tv mnafikiri watu wote wanaskiliza radio? na namba za simu tulijaza za nini?
update
mpaka leo bag la mtoto halijapatikana mkuu wa shule tarimo nashukuru kwa uamuzi uliotuahidi kulipa vitu vyote vya mtoto napenda ufahamu kuwa thamani ya mtoto haifananishwi na kitu chochote licha ya kujitetea kuwa kuna mzazi mlimkabibhi watoto, na wazazi wanaokaa dar walipitisha utaratibu wa wa kusafiri mmoja wao na watoto. Napenda nikuambie kuwa huo utaratibu sio mzuri na haufai hata kidogo ,jaribu kufikiri mtoto angepotea ungeniambia umempa mzazi fulani nani angekuelewa? Je sku nilimkabidhi nani huyo mtoto sku anakuja shule? Pili sio wazazi wote wenye uchungu na watoto kwani wapo wanao tupa watoto wao wa kuzaa wenyewe iweje mtoto wa mtu mwingine?
Tunasubiri kuona yale uliyoahidi yanatekelezwa.na sio maneno matupu
jambo hili stakaa nilisahau sku hiyo ilikuwa ngumu sana kwangu.