Faana
JF-Expert Member
- Dec 12, 2011
- 32,074
- 33,597
Duh! "Walimu! Walimu! Waalimu!!!
Inatakiwa screening ya hali ya juu kabla ya kuwaingiza mafunzoni, kuna watu wamezaliwa walimu na wapo wengine wameingia huko kama njia ya kupata ajira, kiukweli ualimu ni taaluma yenye msukumo unaoanzia ndani mwa mtu