Mwifwa
JF-Expert Member
- Apr 3, 2017
- 46,921
- 122,189
Ina maana hiyo shule iliyopewa leo haijawahi kufikiwa na hizo bilioni 23 hadi leo hii?Kwani hujui kwamba kila mwezi serikali inatoa bilioni 23 inakwenda kwenye shule moja kwa moja
Ina maana hiyo shule iliyopewa leo haijawahi kufikiwa na hizo bilioni 23 hadi leo hii?Kwani hujui kwamba kila mwezi serikali inatoa bilioni 23 inakwenda kwenye shule moja kwa moja
Bado hujapata uteuzi?Kwa ubahiri Wa chadema sidhani naona roho zitawauma wiki
Kwani Namtumbo haina watu waliotapakaa Tanzania nzima wenye kuweza kujenga vyoo vya shule zao?.Sasa ametoa milioni tatu sec hiyo alipo pita je sec iliyoko Namtumbo huko Ruvuma haina choo atatoa wap hiyo hela?nadhani rais aache kufanya maigizo kwa kutaka sifa zisizo za msingi.Tunachokitaka ni mpango mkakati na kutoa pesa kujenga vyoo nchi nzimz penye shda kama hiyo sio kutuletea maigizo.
Una uhakika gani kama choo kitajengwa?Kuna watu wajinga by nature, hivi hizi shule zimekosa choo kipindi cha utawala wa tano. Mbona watu wapumbavu hivi. Inamaana rais kafanya kosa kutoa milioni tatu. Hapo kulikuwa na madiwani na viongozi wengi wa serikali. Huyo mtoto kazipokea hizo hela kuwakilisha shule yake ila zitachukuliwa na viongozi husika kwa ajili ya kujengea choo
Wawekezaji wa kujenga vyoo? Kwanza hao wazazi na waalim wa hiyo shule ni bure kabisa. Mambo ya harusi na sherehe wanapata fedha za kuchanga lakini inapokuja jambo muhumu kama hilo wanakimbia. Na mashabiki wao kama wewe unataka rais aende Ulaya kutafuta wafadhili.Tumechoshwa na filamu zenu, jiwe akiskia kwenda ulaya tu kuonana na wawelezaji naskia anapata tumbo la kuharisha
Stop talking! You are too shallow and very low in thinking
Upo kwenye mgao wa buku7.Kwa ubahiri Wa chadema sidhani naona roho zitawauma wiki
Kama mbuge wao ?Amefanya jambo zuri japo njia aliyotumia sio sahihi. Yeye ni mkuu wa nchi, inapaswa afanye majukumu ya ukuu wa nchi na majukumu kama haya, watendaji aliowachagua ndio wayashughulikie na yeye kupokea taarifa tu.
Muulize lijualikali aliyeshindwa kujenga choo na held ya jimbo kalambaHiyo shule sawa itajengwa, je Walimu wa kufundisha ambao amekataa kuwaongeza mshahara wataenda kufundisha wana njaa? Huyu muhutu kwa kiki mpaka anaboa.
Na wewe uwe unavaa za ccm siku akija upewe !Je, mwanafusi huyo angekuwa amevaa nguo zenye rangi ya CHADEMA Magufuli angetoa mchango huo? Jibu ni asingetoa .Ametoa fedha hizo baada ya kuona mwanafunzi huyo amevaa nguo za ccm na si vinginevyo.
Tutapenda baada ya mwezi mmoja hivi tupate picha ya hivyo vyoo vilivyo jengwa na hizo hela.Naamini huyo kijana hela hakukaa nayo zaidi ya dakika mbili,
wakubwa waliichukua,na kitajengwa choo cha laki tatu,
kisha pesa ndo itakuwa imeyeyuka