Morogoro Plot for sale 45M (negotiable) Malipo kwa awamu

Morogoro Plot for sale 45M (negotiable) Malipo kwa awamu

Creed2604

Member
Joined
Dec 12, 2025
Posts
5
Reaction score
1
nauza plot yangu morogoro mjini lukobe. ilikuwa site ya ufugaji ina buildings sita including mabanda.

Ukubwa wa plot ni 60×25 M². Malipo ni kwa awamu!

nahitaji watu serious tu tafadhali.

DM me whatsapp or piga 0762098871
IMG-20251212-WA0160.jpg
IMG-20251212-WA0167.jpg
IMG-20251212-WA0159.jpg
IMG-20251212-WA0149.jpg
 
Kunaishika? Maana mtu toka nje ya morogoro anatakiwa awe na hakika akinunua maisha yanaweza kuendelea.

Maelezo kidogo ya eneo yanaweza kusaidia. Umbali toka Town center au barabara kuu, upatikanaji wa umeme na maji na pia miundombinu ikoje?
 
Kunaishika? Maana mtu toka nje ya morogoro anatakiwa awe na hakika akinunua maisha yanaweza kuendelea.

Maelezo kidogo ya eneo yanaweza kusaidia. Umbali toka Town center au barabara kuu, upatikanaji wa umeme na maji na pia miundombinu ikoje?
Tunasubiri majibu
 
Kunaishika? Maana mtu toka nje ya morogoro anatakiwa awe na hakika akinunua maisha yanaweza kuendelea.

Maelezo kidogo ya eneo yanaweza kusaidia. Umbali toka Town center au barabara kuu, upatikanaji wa umeme na maji na
Ndiyo, miundombinu ipo vizuri.
Eneo lina kanisa jirani, maji na umeme tayari vimefika, na kuna shule inayopakana na eneo. Pia lipo karibu na SGR railway, kuna maduka na huduma za kila siku kama chalula.

Ni eneo lililojengeka tayari, lina mijengo mizuri na watu wanaishi.
Barabara imechongwa (bado kuwekwa lami), na usafiri upo moja kwa moja kutoka mjini hadi eneo husika.

kufika hadi barabara kuu ni 15Minutes kwa chombo na hadi town ni 25Minutes

Natamani sana ungejionea
 
Mwambie na yule Mwingine anayejiita damas7 aongezee haya maelezo kwenye tangazo "lake".

Eneo Moja linapouzwa na watu wawili tofauti na kwa maelezo tofauti, huleta shaka Kwa wateja tarajali.

Kati ya wewe na damas7 nani hasa ndiyo muuzaji halali wa hilo eneo?
 
😔😔😔😔😟😟😟😟😟😟😔😔😔😔😟😟😟
 
Mwambie na yule Mwingine anayejiita damas7 aongezee haya maelezo kwenye tangazo "lake".

Eneo Moja linapouzwa na watu wawili tofauti na kwa maelezo tofauti, huleta shaka Kwa wateja tarajali.

Kati ya wewe na damas7 nani hasa ndiyo muuzaji halali wa hilo eneo?
mzazi wetu ndie mmiliki halali, And yes Bei ilianza 48M na kushuka hadi 45M baada ya clear evaluation. Kama uko interested utakuta full documents za umiliki na kiwanja pia ni ruksa kuona eneo. Now please real buyers mjitokeze and if u need more info i'm happy to comply
 
Hapa Kuna upigaji na uhalali wa bei unakufa. Eneo Moja watu wawili tofauti na Bei pia tofauti... Hii ni dalili kuwa Kuna hatari ya mtu kutapeliwa.
Ukipenda uje uhakikishe lakin pia kama sio buyer basi lets wait for real ones mkuu. kwanini tuandike mate na wino upo
 
Back
Top Bottom