SAUTI YAKO
JF-Expert Member
- Jan 25, 2014
- 2,922
- 2,000
N Leo tu mida ya saa 9-10 alasiri tulikuwa tukitazama star tv m n shemej yenu kipind cha matukio yalotokea 2016,tulipoonyeshwa ule mgogoro wa wakulima na wafugaji tukasamemezana hivi vitu Serekali inatakiwa kuweka mkazo kweli kweli Has a kuwachukulia Hatua hao wananaojichukulia sheria mkononi ...ushauri wangu kwa Serekali n kuwatafutia wafuguji maeneo mengine wakachungie huko.mbunge wa mikumi pia usichoke kutoa elimu ya upendo kwa wapiga Kura wake