MOROGORO: Bondia Francis Cheka ashikiliwa na Polisi

Mkuu..alisema kuwa aliwahi kucheza pambano na Mthailand ambapo Promota Siraji hakumalizia hela yake mpaka leo ndo maana alikosa imani naye

Kiufupi wanajuana watayamaliza tu ili wanawavuruga mashabiki..!
Kwann alikubali kufanya nae kazi tena?!

Asingessini mkataba
 
Kwann alikubali kufanya nae kazi tena?!

Asingessini mkataba
Inashangaza sana vipi alikubali

kwani hata mashabiki wake walisema acheni kumtumia Cheka kama ngazi ya mafanikio yenu
 
huyu bondia mara ya mwisho alikuwa na kesi ya kushambulia na kujeruhi... ilikuwa bado kidogo afungwe...
 
Breach of contract na polisi wapi na wapi...

Hawa polisi wa Tz kuna tatizo kubwa sana mahali...
 
Wanachofanya wanabadilisha kesi. Inakua kujipatia hela kwa njia ya udanganyifu. Ukinyoosha mkono hata mdaiwa anafungwa. Only tz
Lakini mwisho wa siku hiyo ni contractual, ambapo upande mmoja umeshindwa ku comply na terms na hivyo mwisho wa siku atapaswa kulipa na riba, only kama akipata watetez wazuri watapangua hoja ya kujipatia pesa kwa udanganyifu.
 
Lakini mwisho wa siku hiyo ni contractual, ambapo upande mmoja umeshindwa ku comply na terms na hivyo mwisho wa siku atapaswa kulipa na riba, only kama akipata watetez wazuri watapangua hoja ya kujipatia pesa kwa udanganyifu.

Hivi tunaongelea dunia ya kwanza au ''huku kwetu?''

Mpaka hilo la kukamatwa na polisi tu tayari ni taa nyekundu
 
Kwa mujibu wa Promota Siraji ni kuwa alipewa pesa za mwanzo, ambapo zingine angemaliziwa kabla ya kupanda ulingoni kama inavyokuwa wameahidiana ambapo Cheka alionyesha kutokuwa na imani na mpango huo
Bado hiyo sio sababu ya kumpeleka polisi. Angemfungulia kesi ya madai. Cheka anachohitaji ni Mwanasheria tu. Tena akipelekwa mahakamani anaweza kushinda na aliyemshtaki akapoteza kila kitu.
 
Mbona yeye anadai huyo promota wake kuna hela hajamlipa mpaka kesho?
Yaani kuna pambano alishacheza...akapewa advance tu...but baada ya pambano hakumaliziwa...hivo juzi alitska alipwe mpunga wote ndo apande ulingoni.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…