‘Morning Glory’ kwa wanandoa

‘Morning Glory’ kwa wanandoa

Huyo mke ambaye anaweza kuamka saa 10 alfajiri aanze kulamba asali na kuvua shumizi huku anakupeti peti anapatikana duka gani mkuu...???

Maana wengi tulionao tunafahamu wakiguswa hata tako tu lazma wafyumu na kusindikizia na kauli mojawapo katika hizi:
"Nshakwambia staki usumbufu nikiwa nimelala"

"Ntakupa nikiamka"

"Ukoje wewe niache nilale bana"

"Nimelala bana sitaki kero"

"Eeh eh umeanza usumbufu wako tayari"

"Argh, yani mtu asilale jamani"
una experience na maswali ya kero
 
Huyo mke ambaye anaweza kuamka saa 10 alfajiri aanze kulamba asali na kuvua shumizi huku anakupeti peti anapatikana duka gani mkuu...???

Maana wengi tulionao tunafahamu wakiguswa hata tako tu lazma wafyumu na kusindikizia na kauli mojawapo katika hizi:
"Nshakwambia staki usumbufu nikiwa nimelala"

"Ntakupa nikiamka"

"Ukoje wewe niache nilale bana"

"Nimelala bana sitaki kero"

"Eeh eh umeanza usumbufu wako tayari"

"Argh, yani mtu asilale jamani"
Mimi nshasema marufuku kuniamsha saa kumi na moja alfajiri, labda kuwe na msiba
 
Kama umeoa au unaishi na partner wako most of the time akili inakua ishajityuni ile alfajiri hata wewe unajikuta tu . ... kama Singo basi muda huo utaamka hata kukojoa tu japo inategemea na mood na msimu

Mimi nshasema marufuku kuniamsha saa kumi na moja alfajiri, labda kuwe na msiba
 
Hahaa shida kubwa ni masuala ya kiuchumi..pia na marketing strategy ya mahusiano..

Unakuta mwanamke amezalishwa watoto wa 5 ' ...so anafikiria kuwa hata akiachana na mume wake ataolewa/ataku katika mahusiano ya kudumu tena na nani??...

Pia anawaza kuwa walisha chuma mali za kutosha na mumewe..Endapo akiachana nae anaweza kuwakosesha haki za msingi watoto wake

So anaamua kufa na tai shingoni

Mbaya zaidi ndoa za namna hiyo ndio wana ndoa huwa wana michepuko kama abiria wa,mwendokasi
Hakufai mie nashangaa kwanini wanaishi kwa shida si waachane
 
Hahaa shida kubwa ni masuala ya kiuchumi..pia na marketing strategy ya mahusiano..

Unakuta mwanamke amezalishwa watoto wa 5 ' ...so anafikiria kuwa hata akiachana na mume wake ataolewa/ataku katika mahusiano ya kudumu tena na nani??...

Pia anawaza kuwa walisha chuma mali za kutosha na mumewe..Endapo akiachana nae anaweza kuwakosesha haki za msingi watoto wake

So anaamua kufa na tai shingoni

Mbaya zaidi ndoa za namna hiyo ndio wana ndoa huwa wana michepuko kama abiria wa,mwendokasi
Hiyo ndoano sasa
 
Back
Top Bottom