I'm Businessman-sipendi kuona monopoly ktk kila sector ya biashara ambayo itanifanya niogope kuinvest. Now- monopoly ya Kanisa?
Kanisa sasa hivi limejiingiza ktk mpango maalum wa kufanya biashara ya elimu, umeme!! nk. Vyuo vya Kanisa St. vimejaa kibao!! Hivi tupo ktk karne ya 18?
Threat nyengine ya Kanisa kuwa ktk biashara-monopoly ni amani ya nchi. Hivi serikali inajua madhara ya Taifa lenye dini mbili (Islam and Christian) kubwa ktk nchi? Je Kanisa linajua madhara ya kuwa monopoly ktk kila sector?
Let's be honest- Tunaoimba serikali isimamishe mpango huu wa Expansion wa Kanisa- ni Tishio kwa amani ya nchi. Tunaomba serikali izuie mpango huu wa expansion. Madhara yake ni makubwa kuliko faida zake.
Kanisa sasa hivi limejiingiza ktk mpango maalum wa kufanya biashara ya elimu, umeme!! nk. Vyuo vya Kanisa St. vimejaa kibao!! Hivi tupo ktk karne ya 18?
Threat nyengine ya Kanisa kuwa ktk biashara-monopoly ni amani ya nchi. Hivi serikali inajua madhara ya Taifa lenye dini mbili (Islam and Christian) kubwa ktk nchi? Je Kanisa linajua madhara ya kuwa monopoly ktk kila sector?
Let's be honest- Tunaoimba serikali isimamishe mpango huu wa Expansion wa Kanisa- ni Tishio kwa amani ya nchi. Tunaomba serikali izuie mpango huu wa expansion. Madhara yake ni makubwa kuliko faida zake.