William J. Malecela
R I P
- Apr 27, 2006
- 26,584
- 10,466
ila Namuomba mkuu wa kaya amrudishe Magufuli katika wizara hiyo.
mimi sioni mantiki ya kurudisha wtu wale kwa wale mawizarani.
hivi ndo tuseme hakuna mtu mwengine anayeweza kufanya kazi hiyo ila wale wale waliokaa madarakani miaka iliyopita?
tusijifunge kimawazo sana, tuwe open kujaribu na vichwa vipya pia
Mkuu Gembe,
Heshima mbele bro, hivi unajua ni kwa nini aliondolewa hapo miundo mbinu in the first place? Muwe basi mnauliza kwanza huyo anafaaa huko huko kwenye kitoweo!
Mkuu Gembe,
Heshima mbele bro, hivi unajua ni kwa nini aliondolewa hapo miundo mbinu in the first place? Muwe basi mnauliza kwanza huyo anafaaa huko huko kwenye kitoweo!
Tupo Chuo kujifunza jinsi ya kutetetea maisha Ya watanzania ambao wengi ni masikini tunaomba mtuunge mkono kwani bila msaada wenu hatutaweza...
Mwnakijiji ,
n.b nimetumia hapa maana sijui jinsi ya kuiweka front page....
Heshima Mbele Wakuu,
Baada ya Mhe. Chenge kushindwa kujenga hata barabara moja toka achaguliwe kuwa waziri wa Miundombinu,......Mhe. Magufuli alijitahidi sana kujenga barabara kwa kiwango cha Rami mpaka nchi ikaanza kupendeza,mojawapo ya kazi ambazo ninamsifu ni ujenzi wa barabara za Mwanza mjini ambapo hapo kabla kulikwua hakuna barabara za kiwango cha rami.aliweza kujua barabara zote kwa jina na kujua ni wapi panatakiwa papewe kipaumbele....
Heshima Mbele Wakuu,
Baada ya Mhe. Chenge kushindwa kujenga hata barabara moja toka achaguliwe kuwa waziri wa Miundombinu na kwa kuwa imedhihirika kwamba tuhuma alizonazo ni nzito na amekubali kuwajibika kwa manufaa ya umma.
Huu ni wakati muafaka wa kupendekeza ni nani anafaa kuchaguliwa kuwa Waziri wa Miundombinu. Kipindi cha Awamu ya tau Mhe. Magufuli alijitahidi sana kujenga barabara kwa kiwango cha rami mpaka nchi ikaanza kupendeza, mojawapo ya kazi ambazo ninamsifu ni ujenzi wa barabara za Mwanza mjini ambapo hapo kabla kulikuwa hakuna barabara za kiwango cha rami aliweza kujua barabara zote kwa jina na kujua ni wapi panatakiwa papewe kipaumbele.
Mie nadhani kuna haja ya yeye kurudishwa ili akamalize ahadi yake ya kuweka rami barabara ya Mtwara mpaka Mwanza.
Najua chaguo la Muungwana linaweza kuwa Ezekiel Maige kwa silimia 70, ila Namuomba mkuu wa kaya amrudishe Magufuli katika wizara hiyo!
Najua JK amewapa vijana nafasi nyingi, hilo ni jambo jema. Inabidi aendelee, pamoja na kwamba kuna wengine wameharibu, lakini watakuja kizazi kipya ambacho kinataka maendeleo na kipo tayari kuchakarika.
Challenge ya 2010 ni kwa vijana wanaotaka maendeleo, kuamua kufanya kweli na kuwa tayari kuchukua uongozi wa nchi kwenye sehemu mbalimbali. Naamini wana JF wengi tu wanaweza wakafanya mengi mazuri kuliko viongozi wengi tu tulio nao sasa.
Karibu Malunde,heshima kwanza;
Magufuli huwa ana vision fulani akipewa kutekeleza kazi fulani; huweka plan na kujaribu implementations; ila unajua amezungukwa na watu wachafu; so hawezi; pia kumbuka kashfa dhidi ya JPM zilichongwa makusudi (tusisahau tulikotoka sera za ben na CCM ndi alikuwa anatekeleza). So nadhani walau magufuli anaweza kupiga hatua kaisi fulani ktk anaiwezea; wengine wataleta chai tu pale-
Mtanzania,
in maana unamsupport Ezekiel Maige apewe hiyo wizara??coz huyu ndiye mkulu alitaka kumpa wizara hiyo kipindi kile baada ya kuvunja baraza la mawaziri.
Na wewe unamuona Magufuli kama mtu asiyefaa??
Magufuli ndiyo kweli ali initiate ujenzi wa barabara nyingi kwa kuwatumia contractors kutoka China. Matokeo yake ni ujenzi mbovu na kuongezeka kwa costs za kujenga barabara hizo na pia kuvunja mikataba na kutafuta contractors wapi.
Magufuli ndiyo kweli ali initiate ujenzi wa barabara nyingi kwa kuwatumia contractors kutoka China. Matokeo yake ni ujenzi mbovu na kuongezeka kwa costs za kujenga barabara hizo na pia kuvunja mikataba na kutafuta contractors wapi.
WAchina wamekuwa wakipewa barabara kutokana na Bei zao kuwa Za chini na ambazo tunaweza kuhimili,ila sio barabara zote zilijengwa na wachina,kuna kampuni nyingi tu zimepewa barabara ambazo si za kichina na zimefanikisha suala hilo.
Kwa walioko TZ
Hivi yule dada wa UDSM sheria, mwenye RAV4 aliekuwa anakaa MABIBO hostel ameshaolewa na MAGUFULI ? , kwa maana alikwa anajishau kuwa anazimaliza pesa za BARABARA zetu kipindi kile Mh. yuko Miundombinu.
Ant RU,mambo yanayohusu maisha ya Viongozi ambayo ni binafsi ,tusiyaguse,kila mtu ana mapungufu yake na ana uwezo wa kumuoa mtu yeyote na kuwa na mahusiano na mtu yeyote.