Varius
JF-Expert Member
- Apr 2, 2017
- 644
- 503
Geography, the will and the spirit of the Japanese is what kept the Mongols at bay. Wote tunajua spirit ya waJapan katika vita, mfano WW2 licha ya washirika wake(German&Italy) kubwaga manyanga the Japanese kept the fight. If it weren't for that atomic misery perhaps the war could have been longer than expectes. All that's due to the spirit and courage of these peoples of Japan have. On the issue of the Mongols sishangai kushindwa na waJapanMkuu ni kweli samurai walikuwa brutal pia ila sidhani kama samurai waliwahi chinja watu million 40!! Au kutumia mbinu ovu kama hizo za mongols ili kutuma ujumbe kwa mataifa mengine..... In short hao japan wangepokea kichapo kama sio "tsunami" ya kamikaze iliyozamisha meli za Mongolia ndio ilisababisha wasiendelee na uvamizi maana hawakuwa tena na farasi wa kutosha na supply ya silaha na mahitaji mengine kutoka china+korea..... Naomba ieleweke Mongolia ndio utawala mkubwa zaidi (ardhini) katika historia ya dunia hivyo hao japan sidhani kama hii feet wangeweza ifikia kwa hao samurai ambao ilitakiwa mpaka wawe one on one ndio wapigane ilihali mongols anakutungua na mishale akiwa mita kadhaa mbali..... Bado sijawa convinced hawa samurai wana uwezo kuliko mongols