Kuna wale vijana wawili kutoka chuo kikuu cha Stanford walihenya kweli kweli mpaka wakafanikiwa kutuletea Google. Jamaa mwingine naye akajibidisha weeee mpaka akatupatia Wikipedia. Sasa sisi hata kutumia vitu hivi navyo ni shida? Nenda huko na utapata maelezo ya kuanzia halafu uje humu watu tukueleweshe jinsi hiyo Money Gram inavyofanya kazi....INAKUAJE APO HILI NENO SIELEWI
Unataka utafuniwe,wewe kazi yako kumeza tu,kama umeweza kuingia JF kwanini usiingie "gugo" usipende kitonga.Tabia ya kuuliza uliza hata vitu ambavyo maelezo yapo wazi online ni ujinga wa chuo kikuu,na hapa Tz imezoeleka sana,nadhani kwa kuwa kuuliza ni bure,ingelikuwa watu wanauliza kwa pesa,watu wengi wangejifunza kufikiri na kutafuta maelezo ya kina online.we ka unafahamu si uelezee ndugu mi mpaka nifike uko gugo.....
Unataka utafuniwe,wewe kazi yako kumeza tu,kama umeweza kuingia JF kwanini usiingie "gugo" usipende kitonga.Tabia ya kuuliza uliza hata vitu ambavyo maelezo yapo wazi online ni ujinga wa chuo kikuu,na hapa Tz imezoeleka sana,nadhani kwa kuwa kuuliza ni bure,ingelikuwa watu wanauliza kwa pesa,watu wengi wangejifunza kufikiri na kutafuta maelezo ya kina online.
[HASHTAG]#Kama[/HASHTAG] hutaki kwenda "gugo" baki hivyo hivyo,hakwambii mtu hapa.
[HASHTAG]#SipendagiUjinga[/HASHTAG]!
povu lote khaaaaaUnataka utafuniwe,wewe kazi yako kumeza tu,kama umeweza kuingia JF kwanini usiingie "gugo" usipende kitonga.Tabia ya kuuliza uliza hata vitu ambavyo maelezo yapo wazi online ni ujinga wa chuo kikuu,na hapa Tz imezoeleka sana,nadhani kwa kuwa kuuliza ni bure,ingelikuwa watu wanauliza kwa pesa,watu wengi wangejifunza kufikiri na kutafuta maelezo ya kina online.
[HASHTAG]#Kama[/HASHTAG] hutaki kwenda "gugo" baki hivyo hivyo,hakwambii mtu hapa.
[HASHTAG]#SipendagiUjinga[/HASHTAG]!
Weka nguo ufue!povu lote khaaaaa