Kwa Tanzania sehemu zinazotoka maji ni chache sana,dar tuu hapo hakuna maji wakati maji meengi ruvu..
Na kama mbunge anaweza kupiga dili kwenye mradi ulio chini ya wizara ya maji na halmashauri, basi mfumo wa serikali, au serikali yenyewe ni dhaifu.
Ha ha ha ha ha ha
Mkuu huyu mtu alikua Ikulu, na kama ni kuingi kaingia mara kibao na bado ana escort ya watumishi wa Ofisi ya Rais mpaka sasa cha msingi ni watanzania kumpima na kuamua kama anafaa tena kurudi na wamuulize kwa nini alitoka, wakimkubari sawa wakimpiga chini imekula kwake!
Mtahangaika sana. Jimbo la Monduli ccm hamtapata hata diwani moja.
Darisalamu maji yapo?
hivi yale maji ya monduli ni maziwa?
wengi wanachangia bila hata kupafahamu.
Maji hayapo ubungo tu kwa mnyika
Kakimbilia kibamba kisa hawez kuwatizama watu wa ubungo tena
Saiv watu wa ubungo wameamua kurudisha jimbo kwa msomi daktar Didas masaburi
Bado siku chache, tusiandikie mate
Wala msiwe na wasiwasi, Itapigwa Harambee ya nguvu muda si mrefu. Mtapewa maji safari hii sio Kofia, Kanda wala Tshirt. Jmaa yuko Makini sana.
(kulowasika)
Ndugu zangu tokea tanzania umepata uhuru wilaya ya Monduli haijawai kua na maji ya kwa aijli ya binadamu. Wakati huohuo mbunge wao bw. Edward Lowassa kila siku akipita majimbo mengine kuendesha harambee.
Mimi najiuliza kwa nini mbunge wetu asitupatie maji wakati anauweza wa kuchangisha hela nyingi huko kungine na kusahau Monduli? Kama haumini leo hii nenda Monduli kama utapata maji ya kunywa lakini naona watu wanamshangilia mweshimiwa tu bila kuangalia anakotoka.
Lakini hawafui dafu propaganda zao zinaenda na upepoKuna watu wanajitahidi sana kumpiga Vita Lowassa.