ama kweli mnawashwa..leo unakumbuka monduli...chalinze, chato,masasi,butiama kote hakuna maji afu unajifanya eti monduli... mtakoma mwaka huu ....
".....walutheri mniombee sana..nchi hii haijawahi kuwa na rais mlutheri....nyerere alikuwa mroman..mkapa pia
Sasa n zamu ya walutheri"
Huo ni udini
"...kaskazin tunaonewa sana..imekuwa n sehem ya uwaziri mkuu tu...sokoine alikuwa wazir mkuu wa huku..sumate pia na mimi nilikuwa waziri mkuu..hakujawahi kupatikana rais...sasa n zamu ya kaskazini"
Hahah
huo n ukabila
Hatuwez kuchagua rais wa walutheri aitwae ngoyai
Ndugu zangu tokea tanzania umepata uhuru wilaya ya Monduli haijawai kua na maji ya kwa aijli ya binadamu. Wakati huohuo mbunge wao bw. Edward Lowassa kila siku akipita majimbo mengine kuendesha harambee.
Mimi najiuliza kwa nini mbunge wetu asitupatie maji wakati anauweza wa kuchangisha hela nyingi huko kungine na kusahau Monduli? Kama haumini leo hii nenda Monduli kama utapata maji ya kunywa lakini naona watu wanamshangilia mweshimiwa tu bila kuangalia anakotoka.
Ni mtu wa madili tu huyo
Hata Yuda Iskariote alikuwa anapiga deal kwa mgongo wa kuuchukia umaskini, kuna siku alitaka pafyumu ya Yesu iuzwe ili pesa wapewe maskini, Yesu akamkaripia kuwa MASKINI wapo siku zote asijifanye kawaona siku hiyo. Mtu akikuambia anauchukia uwe macho, huenda akawa mpigaji tu.
Kuiba haki za wanainchi ni jambo za ajabu sana.
Wapo sahihi hao wainchi, wapewe haki yao
Maji yapo lakini Monduli wanainchi walipelekewa mradi wa maji umepigwa sasa wasiseme.
Escrow hoyeeeeeeeeee
Tusubiri tar 25 oct sio mbali, wananchi wa monduli wataamua,,Ndugu zangu tokea tanzania umepata uhuru wilaya ya Monduli haijawai kua na maji ya kwa aijli ya binadamu. Wakati huohuo mbunge wao bw. Edward Lowassa kila siku akipita majimbo mengine kuendesha harambee.
Mimi najiuliza kwa nini mbunge wetu asitupatie maji wakati anauweza wa kuchangisha hela nyingi huko kungine na kusahau Monduli? Kama haumini leo hii nenda Monduli kama utapata maji ya kunywa lakini naona watu wanamshangilia mweshimiwa tu bila kuangalia anakotoka.
Lowasa ndiye rais wa JMT
ama kweli mnawashwa..leo unakumbuka monduli...chalinze, chato,masasi,butiama kote hakuna maji afu unajifanya eti monduli... mtakoma mwaka huu ....
Una uhakika gani kuwa lowasa hakupata mgao wa escrow? Tuache ushabiki wa mbwa kushangilia rangi za chatu, kumbe ashangilia maangamizo yake.
Ishu sio sehemu gani kuna maji na wapi hakuna, ishu fedha za maji zilipelekwa jimboni kwa Mbunge Lowasa, zimefanya kazi gani?
So, unataka kuniambia tuhuma za Richmond haziruhusiwi kuingia ikulu ila tuhuma za uuzwaji holela wa nyumba za serikali ndio unakaribishwa ikulu?