MONDULI CCM: Ni upuuzi mtupu

MONDULI CCM: Ni upuuzi mtupu

Mwamba Usemao Kweli

JF-Expert Member
Joined
Oct 5, 2012
Posts
744
Reaction score
186
Ni dalili za wanasiasa wanaopenda ukabila, ujimbo na ukanda. Haiingii akilini kuwa mtu Wa kabila lenu au kwenu asipochaguliwa kuwa mgombea Wa chama kwenye urais basi mnahama chama.

Ni upuuziiii.....

Je na sisi tunaotoka kwa mwandosya, Wasira, bilal, membe na wengineo tuhame pia?

Je huko UKAWA asipopitishwa huyo MTU wenu mnarudisha kadi mnaenda wapi?

Ni upuuzi, ni upuuuzi nasema.
 
Na wale wanaokosoa uteuzi Wa ccm Wakati ni makada Wa ccm ni vema wakarudisha kadi pia wakaenda chadema mapema kuliko kulalamika mitaani. Urais si fadhila kwamba Mtu aliyetumia fedha nyingi kushawishi watu wampende au wajitokeze kutangaza nia ndo apewe urais. LA hasha urais ni zaidi ya hapo.
 
Mbona una lialia dogo kwani umejipangaje? CCM ina wenyewe, watu kama wewe ni wapuliza vuvuzela tu.
 
Wewe ni msukule wa CCM ila hujitambua, wale wenzio wamepata dawa ndio maana fahamu zimewarudia.
 
.... Mimi Mbona Siyo Wa Kaskazin Lakin Nimerudisha Kadi Jana. Nimechoka Maamzi Ya Ccm
 
Nataka nijue na hao ambao wanahama chama, nao amewahonga ili waende huko chama kingine. Inaweza ikawa jamaa anapendwa tu na watu halafu tunasingizia kuwa anatoa pesa ili apendwe. Ngoja tuone upepo unavyooenda
 
Well said.Jamaa wanadhihirisha ubinafsi.Kumbe Kitengo kiliona mbali.
 
Ni dalili za wanasiasa wanaopenda ukabila, ujimbo na ukanda. Haiingii akilini kuwa mtu Wa kabila lenu au kwenu asipochaguliwa kuwa mgombea Wa chama kwenye urais basi mnahama chama.

Ni upuuziiii.....

Je na sisi tunaotoka kwa mwandosya, Wasira, bilal, membe na wengineo tuhame pia?

Je huko UKAWA asipopitishwa huyo MTU wenu mnarudisha kadi mnaenda wapi?

Ni upuuzi, ni upuuuzi nasema.

Acheni kuhangaika na Lowassa nyie majizi, matapeli na walaghai wa CCM. Tumechoka kubadilishiwa mvinyo wakati chupa ni ile ile ya zamani. Subirini sindano iwaingie vizuri ndio mtajua, msilie. Monduli hakuna ukabila kule. Kwani hawo vijana wa 4U Movement walioandamana Dar now ni wakabila? Na bado kimbuga kinakuja nchi nzima, ule ni mwanzo. Wana mikakati wamepanga mambo kwa ustadi mkubwa sn. Leo tu utaona huo moto unavyosambaa nchi nzima.
 
Hoja ni kukiuka taratibu, kanuni na maadili ya chama kuwapata wagombea. Je mleta mada hvyo vilizingatiwa? Wafuasi wa watia nia uliyowataja ndio 'hamnazo' maana hamwezi mkafumbia uchafu uliyojitokeza. Waliyo na maskio wamesikia na wameihama CCM.
 
Ni dalili za wanasiasa wanaopenda ukabila, ujimbo na ukanda. Haiingii akilini kuwa mtu Wa kabila lenu au kwenu asipochaguliwa kuwa mgombea Wa chama kwenye urais basi mnahama chama.

Ni upuuziiii.....

Je na sisi tunaotoka kwa mwandosya, Wasira, bilal, membe na wengineo tuhame pia?

Je huko UKAWA asipopitishwa huyo MTU wenu mnarudisha kadi mnaenda wapi?

Ni upuuzi, ni upuuuzi nasema.

Mtu mbinafsi wa kwanza kabisa na mbaguzi na mkabila ni Rizimoko
Yeye ndio.mtu wa kwanza kusema nchi hii haitaongozwa na mtu kutoka kaskazini,huyu ndio wa kuanza kichapa fimbo mapema kabisa
Mtoto wa kiongozi mkubwa anapptoa matamshi ya kibaguzi namna hii anamaanisha nn?
 
Wee ndo npuuzi kabishaaa.thread yako ya hovyooo
 
wewe kweli ni msukule kweli maana hujitambui!na kule bariad ni arusha au huon maana misukule huwa mpompo tu!.
 
kwa yaliyotendeka dodoma watanzania wote wapenda haki walipaswa kuihama kabisa ccm. wanaoendelea kubaki huko ni kwa ajili ya matumbo yao tu.
 
Ni dalili za wanasiasa wanaopenda ukabila, ujimbo na ukanda. Haiingii akilini kuwa mtu Wa kabila lenu au kwenu asipochaguliwa kuwa mgombea Wa chama kwenye urais basi mnahama chama.

Ni upuuziiii.....

Je na sisi tunaotoka kwa mwandosya, Wasira, bilal, membe na wengineo tuhame pia?

Je huko UKAWA asipopitishwa huyo MTU wenu mnarudisha kadi mnaenda wapi?

Ni upuuzi, ni upuuuzi nasema.

Tatizo lipo ktk utaratibu wakumkata jina haukufanyika kwakufuata taratibu za chama.Hilo ndiyo wajumbe wengi walilokuwa wanalipinga.
 
Back
Top Bottom