Shunie
JF-Expert Member
- Aug 14, 2016
- 157,076
- 463,977
Labda iwe kuanzia saa 12 unielewe nikikwambia napigiwa simu kila mdaUsiku nimechoka kuwa popo
Labda iwe kuanzia saa 12 unielewe nikikwambia napigiwa simu kila mdaUsiku nimechoka kuwa popo
hahahaHahaha
Hutaki au kuna mtu kakutumia ya Google
Mbebez wako yuko hapaJamani
Nimefurahi saaana kuwa nanyi hapa, ngoja nijenge Taifa sasa!!
Tupendane tuu maana hakuna namna ingine kabisaaa!! Penda nyie wote!!
Mbebez wangu kipenzi tuondoke sasa!!
Mie nlijutaaaaaaa. Siku moja tu sijui mbili nimekaa






mbona hunipi hizo habari mm najua kuhusu picha tuMnajadili nini huko? Kuna jukwaa la mapenzi?Mie nlijutaaaaaaa. Siku moja tu sijui mbili nimekaa
yaan hili libaridi likiisha utaniona full mzima mzimaHahaha
Linda ndoa dadakee...
Mitaa ile nimo sema umepotea sana
. Niacheni na huyo mwenzio mfyuuu





Tumshkuru sana mbebez wangu bila yeye mpaka leo ungekuwepo huko kwenye group na picha zingekuwa zinazidi kupostiwa nakujua wwhaswaaa, hata mimi kuna siku niliona kuna utofauti wa hayo ulosema. Unaweza mwangalia mtu na kuanza kushangaa mwenyewe kama wanazo humo kichwani.Shule mama shule. Nawaambiaga marafiki zangu wa mjini tofauti yangu na yao ni kwamba mi sikwenda shule kukua ila kuelimika. Ndo maana vitu vingi wanavyofanya niko tofauti nao.
Kabisaaa huwezi aminiWeeee![]()
We kajenge mie ntakuja kupaka rangi. Wacha niendelee kusogoa hapa siku iisheJamani
Nimefurahi saaana kuwa nanyi hapa, ngoja nijenge Taifa sasa!!
Tupendane tuu maana hakuna namna ingine kabisaaa!! Penda nyie wote!!
Mbebez wangu kipenzi tuondoke sasa!!
Hivyo vipicha unavyomtumiaga wahtasspp kuna siku atakulipua navyo.
Yangu macho tuu
We kajenge mie ntakuja kupaka rangi. Wacha niendelee kusogoa hapa siku iishe









