born to win
JF-Expert Member
- Jun 21, 2015
- 561
- 168
Alafu wenyewe wametulia siyo Kama ccm wakishinda mbwembwe nying Kama hawakutarajia kushinda
Hii kali! ccm wanalalamika wameibiwa kura!!!
Kupata vichekesho kama hivi tuma neno "MONABAN" KWENDA 99751
Mbona ubungo hatujui utendaji wa kubenea ,Monaban umegombea tu kwa mara ya kwanza na hatujui sifa za utendaji wako iweje utake ushindi hapa arusha, kubali kushindwa jaribu tena kipindi kingine hahahaaa we ulifikiri ukiwa na pesa basi unapita tuu
kinachomtesa huyo manaban ni mapesa aliyotumia kwenye kampeni na si kingine...
Mzee wa sembe unga ltd bora hela yake yakampeni angeongezea mahindi tu hasara monasembe amepata jamani
Wanaukumbi
Asiyekubali kushindwa siyo mshindani.
Aliyekuwa mgombea wa ccm Arusha mjini Philemon Mollel ameshusha tuhuma kuwa Godbless Lema ameiba kura ndiyo maana ameshinda.
'kuna gari lenye kura limekamatwa ila lilitoweshwa baadaye..'
Source: channel ten
Ha ha ha ha........aisee........kifo cha Mende kibaya jamani.......
hivi kwa Arusha......hata kama hujui kusoma........picha huelewi......hata harufu huhisi........nafwaaaaaa......
Kama EDO
Mbona ubungo hatujui utendaji wa kubenea ,