Monaban: Lema ameiba kura

Monaban: Lema ameiba kura

Mzee wa sembe unga ltd bora hela yake yakampeni angeongezea mahindi tu hasara monasembe amepata jamani

Na kasema anavunja chungu.......wale wote waliokula hiyo sembe......anawaotesha mkia.........
 
Kwa utahira wa ccm usikute wakafungua kesi eti, si nimesikia wasira nae kafungua kesi, duh.
 
Halafu wewe........nilikuona ukikimbia na sanduku la kura za Monaban ukikatiza vichochoro vya Milano.......

Walikuwa wanatuimbia kuwa tutaisoma namba, sasa wameusoma Wao! Teh teh teh teh!
 
Mbona juna lake limekaa kidosi dosi sana "Monaban"
 
Ngoja tuone......Magu atafanya nini.......na ule ukuta alioujenga juu ya reli.........

Utaondoshwa tuu hamna namna nyingine. .kinana mwenyewe ashamkimbia zamani na arusha ina wenye mji wao wakitoka kwenye vikao vya baraza la madiwani tu ujue kazi inaanza. Ajiangalie namna ya kupunguza size za suraali zake mapema.
 
Hongereni Arusha. Hakika kwa kiasi fulani mmeponya vidonda vya wanamabadiliko nchini maana ushindi huu umefunika mbaya hata shindi za CCM zimekosa uthamani.
 
Hongereni Arusha. Hakika kwa kiasi fulani mmeponya vidonda vya wanamabadiliko nchini maana ushindi huu umefunika mbaya hata shindi za CCM zimekosa uthamani.

Asante kamanda...........Kazi tuliyotumwa tuliimaliza salama........
 
Nadhani CCMwanajua sana hili Jiji La Arusha.Wanaendelea kusoma Number.👐👐👐👐
 
Back
Top Bottom