Huyo mgombea hakuwa na Mvuto hata kuongea ni kama vile anajifunza
Kwa kifupi hashawishi mpiga kura kumpa kura yake. Lema anajua kuchonga si mchezo anashawishi!
Hii kali! ccm wanalalamika wameibiwa kura!!!
Teeeeeeeeee teeeeeee nmecheka San leo na kunifany nipunguze japo machungu bravo arusha viva lema
Ha ha ha ha........aisee........kifo cha Mende kibaya jamani.......
hivi kwa Arusha......hata kama hujui kusoma........picha huelewi......hata harufu huhisi........nafwaaaaaa......
Kweli Chizi sio hadi avue nguo!
Anapima upepo unaendaje,anajua kuwa kura zile zilikuwa zimbebe yeye na waliokuja nazo anawajua leo vipi adai kuwa lema ndio mwizi wa kura ,Wanaukumbi
Asiyekubali kushindwa siyo mshindani.
Aliyekuwa mgombea wa ccm Arusha mjini Philemon Mollel ameshusha tuhuma kuwa Godbless Lema ameiba kura ndiyo maana ameshinda.
'kuna gari lenye kura limekamatwa ila lilitoweshwa baadaye..'
Source: channel ten
Mbona ubungo hatujui utendaji wa kubenea ,
We mtu wa ajabu sana.
Mkuu mishipa ya ufahamu imeziba, Monaban anatakiwa akatoe sadaka ya shukrani kwa kufanikiwa kupata 50% ya kura dhidi ya Lema.
Jamaa angepata aibu ya mwaka 25.10.2015 kama tungefanya uchaguzi.
Mbona ubungo hatujui utendaji wa kubenea ,