JAYCZ Member Aug 2, 2012 5 0 Oct 2, 2012 #1 Kwa habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba basi la Dar Express linaungua moto maeneo ya segera Attachments IMG-20121002-WA0010.jpg 53.4 KB · Views: 69
L Lindongo Member Apr 9, 2012 83 16 Oct 2, 2012 #2 nawapa pole wasafiri waliokuwa wanasafiri kwa bsi hilo. mungu awanusuru na kila aina ya balaa
T Tony Laurent JF-Expert Member Jan 5, 2011 4,726 5,442 Oct 2, 2012 #3 Poleni ndugu zetu kwa kuunguliwa na mali zenu.
Kiby JF-Expert Member Nov 16, 2009 6,899 4,623 Oct 2, 2012 #4 JAYCZ said: Kwa habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba basi la Dar Express linaungua moto maeneo ya segera Click to expand... . Lilikuwa likitoka wapi kwenda wapi? .
JAYCZ said: Kwa habari zilizonifikia hivi punde ni kwamba basi la Dar Express linaungua moto maeneo ya segera Click to expand... . Lilikuwa likitoka wapi kwenda wapi? .