Moja ya mapungufu kwenye Sheria inaweza kuwa ni Lugha iliyotumika

JamiiTalks

JF Advocacy Team
Aug 7, 2018
626
938

Mapungufu katika Sheria yanaweza kuwa ni Lugha ambayo imetumika ikiwa haijulikani kwa Raia wengi na hivyo kusababisha tafsiri tofauti, au utata katika Utekelezaji wake.

Pia, Utekelezaji wake kuwa na mwelekeo wa upendeleo au ubaguzi dhidi ya makundi fulani ya Watu, ikisababisha kutokuwa na Usawa katika matokeo au Haki.
 
Back
Top Bottom