Crashwise
JF-Expert Member
- Oct 23, 2007
- 22,227
- 8,735
Hii ni moja ya bweni ya shule ya JK hapo kibaha sikuamini, mpaka nilipo ona sare zimeanikwa..
=====
mkuu hii imepigwa picha kwa nyuma but hiyo nyumba ya udongo unayoiona ndo yenyewe ilikuwa darasa siku hizi imepangishwa kama hostel binafsi kwa wanafunzi wanaokaa mbali na shule ya sekondari Makurunge