No SQL
JF-Expert Member
- Nov 8, 2014
- 7,377
- 13,444
hehehe fanya kujaribu kutolipa kodi, ukijua A wenzio wanajua mpk ZMkataba mbona hauna mhuri wa mwanasheria? haya maandishi hayana baraka za serikali unaweza vunja masharti na asikufanya chochote
hehehe fanya kujaribu kutolipa kodi, ukijua A wenzio wanajua mpk ZMkataba mbona hauna mhuri wa mwanasheria? haya maandishi hayana baraka za serikali unaweza vunja masharti na asikufanya chochote
Mbona nilishafanyaga hivyo ila nilikuja kuhama kwa kupenda mwenyewe.Hujui kuwa kuna chama za wapangaji Tanzania.Mtu hawezi kuingilia uhuru wangu kisa nyumba ni yakehehehe fanya kujaribu kutolipa kodi, ukijua A wenzio wanajua mpk Z
HongeraMbona nilishafanyaga hivyo ila nilikuja kuhama kwa kupenda mwenyewe.Hujui kuwa kuna chama za wapangaji Tanzania.Mtu hawezi kuingilia uhuru wangu kisa nyumba ni yake