MOI: Mgomo wa Madaktari Bingwa unaendelea

MOI: Mgomo wa Madaktari Bingwa unaendelea

Du,jitahidi uanze kutunga RIWAYA kwani unajua kuandika story vzr
Mkuu hata wewe umeona jamaa anajua kupangilia mistari barabara ila rudi kwenye mada mgomo wa madaktari upo kwa style B,huo ndiyo ukweli.
 
Lakini mkuu, nini kifanyike? ...kwani hata wagonjwa unaowaona pale, wengine ni wa mikoani!! yaani wamepewa Referral tu kuja MNH or MOI sasa shida inaanzia kule kile yaani vifaa na huduma yenyewe!

Nafahamu kuna wagonjwa mbalil mbali wengi wakitokea nje ya mkoa wa Dar. Wanakuja kwa usafiri wa mabasi au ya kukodi. Ni wachache wanaobahatika kuletwa MNH kwa ambulance ya serikali. Hoja ni kwamba huduma zinatakiwa kutolewa kwa haraka (wenyewe wanaita emergence).

Nini kifanyike? hippocratessocrates umeuliza.
Bahati mbaya watu wengi waliokuwa wakizungumzia mgomo wa madaktari waliishia tu kukosoa hoja ya madai ya posho/mishahara. Madaktari bingwa, serikali na wananchi wanayo majibu. Kwa nchi yenye watu wanaokadiriwa kufikia milioni 45 hatuwezi kukosa jibu la tatizo hili. HATUKO WAJINGA KIASI HICHO!
 
Madaktari hawajagoma ila serikali imekataa kuwahudumia raia wake kwa matamko ya kibabe kupitia kwa jk na pinda.na sisi wananchi kwa ujinga na upumbavu wetu tumekaa kimya tumebaki kulalamika kwny blogu, mkiambiwa badilisheni serikali mnadanganywa na pilau na kanga. Chani tuumie na mwenye pesa atoe atibiwe.
 
madktari wa tanzania ni very weak sana..selfish.kila mtu anadhani yeye ndo mwenye shida kuliko mwenzake..kwa jinsi jamaa wanavojifanya vifua mbele na wenye akili kuliko wengine nikadhani watakuw na strategy za kufa mtu. kumbe walimu ndo kila kitu..niliona kama jamaa wanaishinda serikali mara wakaachia ngazi..ina maana hawakuanticipate side effects au?
 
Serikali ilishasema (JK) kwamba hawana kitu cha kuongea na madaktari, kama daktari haridhiki na achomoe aende atakako. Na kweli wengi sana wameenda nje kuhudumiwa mara saba ya hapa, wanawacheka waliobaki. Hao waliobaki ni kwa sababu hawataki kwenda nje ili waionyeshe serikali kwamba Tanzania sio ya wanasiasa tu, ni yetu sote. Halafu kumbuka Kayaanza mizengwe pita pinda kwamba liwalo na liwe na likawa. Madaktari wamezibwa midomo na kila atakayeongea analimbokiwa. Wote twataka kuishi, hakuna daktari mjinga wa kujining'iniza kamba shingoni wakati watu kibao wanamtegemea, na watoto wao huzaliwa uzeeni sababu miaka mingi wako shule. Waandishi umeona nao wakiisema serikali kwamba inatupeleka ndiko siko wanawadaudi. Kwa hiyo mambo kimyakimya, wananchi waendelee kuishabikia serikali yao maana imeona kwamba ndo inalipa.

Zaleo, kwa waloondoka wana afadhali kidogo maana si wanafiki, acha waende! ila kama umebahatika kusoma kile kitabu cha "Rich Dad, Poor Dad" utakumbuka kwamba as long as wameenda kufanya kazi ili wapate pesa, bado hazitawatosha!
kwa walio baki na hawafanyi kazi well, i have no comment on that!
 
Zaleo, kwa waloondoka wana afadhali kidogo maana si wanafiki, acha waende! ila kama umebahatika kusoma kile kitabu cha "Rich Dad, Poor Dad" utakumbuka kwamba as long as wameenda kufanya kazi ili wapate pesa, bado hazitawatosha!
kwa walio baki na hawafanyi kazi well, i have no comment on that!

Yeah. They want to get rich and retire young!
 
Nafahamu kuna wagonjwa mbalil mbali wengi wakitokea nje ya mkoa wa Dar. Wanakuja kwa usafiri wa mabasi au ya kukodi. Ni wachache wanaobahatika kuletwa MNH kwa ambulance ya serikali. Hoja ni kwamba huduma zinatakiwa kutolewa kwa haraka (wenyewe wanaita emergence).

Nini kifanyike? hippocratessocrates umeuliza.
Bahati mbaya watu wengi waliokuwa wakizungumzia mgomo wa madaktari waliishia tu kukosoa hoja ya madai ya posho/mishahara. Madaktari bingwa, serikali na wananchi wanayo majibu. Kwa nchi yenye watu wanaokadiriwa kufikia milioni 45 hatuwezi kukosa jibu la tatizo hili. HATUKO WAJINGA KIASI HICHO!

Mkuu Pius Kafefa, nachoongelea ni nini kifanyike kwa sasa? yes, we have alot of Great thinkers but are they willing for a change?..sawa umesema madaktari, serikali na wananchi wanamajibu, lakini je wako wapi? hawayaoni haya? hawasomi uzi huu? ..nilichokuwa najaribu kukisema ni kwamba maboresho yasiwe MOI, MNH tu..iwe ni kuanzia mikoani pia.
 
Nikisoma thread zinazohusu madaktari huwa nabaki na maswali mengi kuliko majibu!!!

maswali yap? mkuu nakumbuka we huwa unawaponda sana hawa jamaa....nakumbuka kuna thread uliwaponda sana jamaa mpaka kuna jamaa ikabd atupe ufafanuz wapo kumbe nawe pia ni dr ..........
 
Majuto ni mjukuu, Unapokuwa na raisi kama Kikwete anaingiza maigizo na propaganda kwenye taaluma ni ufedhuri na mkasa mkubwa.

Unapokuwa na chama cha mafisadi kama ccm ni kuiba, kudhulumu na kuendekeza siasa za maji taka, udin, ukabila na ukanda ni mkasa kwa taifa.

Unapokuwa na vijana taifa la leo vilaza wanaoshindwa kuitetea nchi yao japo kwa maandishi, wakitumikia umaimuna wa ccm kuvichafua vyama vingine kwa misingi ya udini na ukabila ni janga lingine.

Tanzania tunabalaa kule magogoni, kiongozi mwenye hekima na busara angewaita madakitari na hata walimu, angetoka hadharani kuwaomba na si kuwalazimisha, kuwanasihi na si kuwakejeli na angetumia uwezo wake wote kuona kwamba watanzania wanapata matibabu na elimu bora.

CCm, Kikwete na vilaza wanaotumika kumtetea yeye na chama chake ni hatari kwa afya ya watanzania kama taifa kielimu, kijamii na kimatibabu.
 
Majuto ni mjukuu, Unapokuwa na raisi kama Kikwete anaingiza maigizo na propaganda kwenye taaluma ni ufedhuri na mkasa mkubwa.

Unapokuwa na chama cha mafisadi kama ccm ni kuiba, kudhulumu na kuendekeza siasa za maji taka, udin, ukabila na ukanda ni mkasa kwa taifa.

Unapokuwa na vijana taifa la leo vilaza wanaoshindwa kuitetea nchi yao japo kwa maandishi, wakitumikia umaimuna wa ccm kuvichafua vyama vingine kwa misingi ya udini na ukabila ni janga lingine.

Tanzania tunabalaa kule magogoni, kiongozi mwenye hekima na busara angewaita madakitari na hata walimu, angetoka hadharani kuwaomba na si kuwalazimisha, kuwanasihi na si kuwakejeli na angetumia uwezo wake wote kuona kwamba watanzania wanapata matibabu na elimu bora.

CCm, Kikwete na vilaza wanaotumika kumtetea yeye na chama chake ni hatari kwa afya ya watanzania kama taifa kielimu, kijamii na kimatibabu.

Taratibu mkuu...punguza jazba.
 
Afya has never been a priority kwa country hii..
Haya tunayoyaona ni outcome ya msimamo finyu wa serikali ya Tanzania juu ya afya za wananchi wake..
Mpaka pale afya itakapokuwa ni priority ndipo haya yote yatakapotokomea..
 
Mkuu Pius Kafefa, nachoongelea ni nini kifanyike kwa sasa? yes, we have alot of Great thinkers but are they willing for a change?..sawa umesema madaktari, serikali na wananchi wanamajibu, lakini je wako wapi? hawayaoni haya? hawasomi uzi huu? ..nilichokuwa najaribu kukisema ni kwamba maboresho yasiwe MOI, MNH tu..iwe ni kuanzia mikoani pia.

PASTE madai ya madaktari hapa, halafu utaona kumbe kinachotakiwa ni ACTIONS. NOW.
Tusisubiri wajukuu zetu waje waone tulivyoshindwa kufanya maamuzi, kama taifa!
 
Taratibu mkuu...punguza jazba.

Asante mkuu, unajua tena sisi tuliotoka familia masikini mwanalumango na Igombe inatuuma sana wenye vijisenti huwapati shule za kata au kwenye hospitali zetu. wao huambaa na Anga hadi kule India, germany nk .........hasira zinanzia hapo mkuu.
 
Hii ndio Tanzania yetu ambayo tunaamini politician wanajua kila kitu. Serikali sikivu inashindwa hata elewa maana ya Motivation katika kazi. But mafahali wawili wapiganapo ziumiazo ni nyasi, lakini sisi watanzania wenyewe sababu ya uelewa wetu mdogo tunafikiri mwenye jukumu la kuprovide health services ni la daktari.madaktari walipogoma kwa ajili ya maslahi yetu hatukuwaunga mkono kuiuliza serikali yetu sikivu isikilize madai yao, tukawaamini wanasiasa walichokua wanaongea.

Naona huu ni mwanzo tusubiri na madhara ya kuwadharau walimu, soon mtu ataingia university hajui hata kusoma. hakuna nchi duniani inacheza na professionals!
 
PASTE madai ya madaktari hapa, halafu utaona kumbe kinachotakiwa ni ACTIONS. NOW.
Tusisubiri wajukuu zetu waje waone tulivyoshindwa kufanya maamuzi, kama taifa!

Ingekuwa vizuri mods wao ndio wakaunganisha na ile thread ya 'Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari"...ila since wewe ndio mwanzisha thread, kwa ruhusa yako nitafanya hivyo mkuu..

MADAI
1. - Kuboresha Huduma za afya hospitalini kwa vifaa vya upimiaji, madawa.

2. - Kuboresha Mazingira Ya kazi (ukarabati wa majengo, uongezaji wa vitanda)

3. - Posho ya muda wa ziada wa kazi (call allowance) 5% kama ilivyo kisheria kwa kada yoyote.

4. - Posho ya kufanya kazi katika mazingira magumu 40% ( MEANING anayefanya kazi SAME, TANDAHIMBA, NYAMPULUKANO nk ni
tofauti na akaaye MJINI)

5. - Posho ya makazi 40% au nyumba kama ilivyo kisheria(since DOCTOR IS ENTITLED KUPATA, HII NI KATIKA SHERIA YAO WENYEWE)

6. - Bima ya Afya(Green Card) kwa wafanyakazi wote wa sekta ya Afya.

7. - Kuwaondoa viongozi wa juu wa W/Afya kutokana na ubadhirifu.

8. -Posho ya kufanya kazi katika mazingira hatarishi 30% au Chanjo(Homa ya ini-hepatitis, HIV/AIDS, TB)
 
pole mdau,mgonjwa nani?au ni Cheupee?UDHAIFU WA VIONGO9 NDO CHANZO CHA YOTE HAYA
Mtoa mada umelonga
kweli,mimi nna mgonjwa wangu yupo SEWAHAJI,NAPO UKIENDA UNAKUTA WATU
WANALALA CHINI,,,BAADA YA KUNYOOSHA MKONO JAMAA WAMEKUBALI KUMFANYIA
UPASUAJI,,,,,,
 
Ingekuwa vizuri mods wao ndio wakaunganisha na ile thread ya 'Serikali ilipokosea katika madai ya madaktari"...ila since wewe ndio mwanzisha thread, kwa ruhusa yako nitafanya hivyo mkuu..

MADAI
1. - Kuboresha Huduma za afya hospitalini kwa vifaa vya upimiaji, madawa.

2. - Kuboresha Mazingira Ya kazi (ukarabati wa majengo, uongezaji wa vitanda)

3. - Posho ya muda wa ziada wa kazi (call allowance) 5% kama ilivyo kisheria kwa kada yoyote.

4. - Posho ya kufanya kazi katika mazingira magumu 40% ( MEANING anayefanya kazi SAME, TANDAHIMBA, NYAMPULUKANO nk ni
tofauti na akaaye MJINI)

5. - Posho ya makazi 40% au nyumba kama ilivyo kisheria(since DOCTOR IS ENTITLED KUPATA, HII NI KATIKA SHERIA YAO WENYEWE)

6. - Bima ya Afya(Green Card) kwa wafanyakazi wote wa sekta ya Afya.

7. - Kuwaondoa viongozi wa juu wa W/Afya kutokana na ubadhirifu.

8. -Posho ya kufanya kazi katika mazingira hatarishi 30% au Chanjo(Homa ya ini-hepatitis, HIV/AIDS, TB)


Madai yote ni ya msingi.
 
Jogi,

Niseme tu kwamba nimeandika bila kusukumwa na mtu isipokuwa kwa nia ya kuona tatizo linajadiliwa na hatimaye kupata ufumbuzi. Hebu fikiria imefikia mahali mgonjwa anajilaumu kwa nini amekosa pesa za kulipia matibabu yake kwa njia ya rushwa! Mgonjwa anajilaumu mwenyewe. Anamlaumu ndugu yake mwenye kauwezo kidogo lakini hajaonekana kipindi hiki cha shida. Mgonjwa anasema zingepatikana shilingi kadhaa kuna madaktari walikuwa tayari kunifanyia upasuaji. Mgonjwa analia kwa uchungu mwingi.

Jogi,
Ninaamini kwamba mgonjwa, na hata binadamu yeyote, akifikia hatua hii anakuwa kwenye kiwango cha juu kabisa cha utambuzi. Hachukulii matatizo yake yanatokana na wengine bali yeye mwenyewe. Hamlaumu mama yake, baba yake, serikali, wala mazingira. And at last this very person surrenders to God! He/she starts to prepare himself/herself for life after death!
dah kaka pole....but unalalamika sana, ikumbukwe kua hili lilikua moja ya madai ya madactari kuhusu kulala chini, ukosefu wa vfaa vya kufanyia kazi, na motivation...serikali na wananchi mkapinga, siungi mkono kinachofanyika but u have to thnk beyond that mkuu, NCHI YA KIBEPARI HII, HAKUNA UJAMAA KAMA WANAVYODAI, NO MONEY NO PUFFING
 
Inasikitisha

hiyo huduma anayosema hongo ni huduma ya IPPM ambapo kama una hela unatafutiwa daktari wako ambaye utamlipia na huduma za kulazwa utalipia kwa bei tofauti na general ward. Ni kitu cha kawaida wenye hela zao wanajua ila sie maskini tunasema ni hongo.
 
Back
Top Bottom