KUTATABHETAKULE
JF-Expert Member
- Apr 2, 2012
- 4,630
- 4,243
Umenikumbusha mbali enzi hizi tukiwa Kibaha, Kazibure akiingia darasani na chaki tu.Poleni wafiwa. Sisi wakongwe tulikuwa na marehemu Mzee Kazibure.
Umenikumbusha mbali enzi hizi tukiwa Kibaha, Kazibure akiingia darasani na chaki tu.Poleni wafiwa. Sisi wakongwe tulikuwa na marehemu Mzee Kazibure.
Simjui ila na imani kuna wana walisoma kwake ile 2005 na walinipigia pindi
Hivi huko CCM kuna watu mmefika O-level pia? Mbona arguments zenu ni kama mliishia vidudu?
Umenikumbusha mbali enzi hizi tukiwa Kibaha, Kazibure akiingia darasani na chaki tu.
Yeah itakuwa mkuu. Ila Mimi baadae nilihamia kwa mgote, na pure kwa mwarami.Mkuu huenda tulikuwa class moja, mm pia 2014/16 nilikuwepo hapo
Duuu! Magonjwa mazito mazito kama haya huwa yanasababishwa na nini?Aise, maisha mafupi sana. Alikua anasumbuliwa na spinal cord. Inawezekana ndio iliomuondoa
DahAise, maisha mafupi sana. Alikua anasumbuliwa na spinal cord. Inawezekana ndio iliomuondoa
Kwa maneno yako unaweza ukawa sahihi au usiwe sahihi pia
Hongera sana kwa kufika O level
😂😂😂Wale masela wa Azaboy wa enzi hizo ndio wanamjua na kumkumbuka sana.
Sisi wa huku Zanzibar hatujuagi watu wa Dar, tunamjua Maalim Seif Sharif Hamad tu.
Mkuu kauli yako imenigusa Sana, jamaa nimekula pind lake Tangu form2/3 hadi advance, So sadNenda mwamba, mwendo umeumaliza!
Ticha wetu amekwenda maisha ya BARZAKH...Hata Siamini
Muddy physics kweli ? dooh Namjua vizuri sana alikua charming sana
Inna Lillahi wa inna ilayhi raji'un
Basi tulikuwa pa1 na mwambaYeah itakuwa mkuu ..Ila Mimi baadae nilihamia kwa mgote..na pure kwa mwarami.
Was exquisite!!Kitini chake cha Modern Physics nimekitumia kimtindo..
RIP
Rip Ticha Muddy!!Kalale pema Jembe,mbele yako,nyuma yeti.